MBIO ZA MBUZI ZILIVYOFANA JIJINI DAR LEO

MBIO ZA MBUZI ZILIVYOFANA JIJINI DAR LEO - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa MBIO ZA MBUZI ZILIVYOFANA JIJINI DAR LEO, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : MBIO ZA MBUZI ZILIVYOFANA JIJINI DAR LEO
kiungo : MBIO ZA MBUZI ZILIVYOFANA JIJINI DAR LEO

soma pia


MBIO ZA MBUZI ZILIVYOFANA JIJINI DAR LEO

Mbuzi wakipigana vibega wakati wakitimua mbio kutafuta mshindi wa shindano lililopewa jina la 'The Southen Sun Fillies Frolic' lililodhaminiwa na Hoteli ya Southen Sun, wakati wa mashindano ya mbio hizo za mbuzi kwa mwaka 2017, yaliyofanyika kwenye Uwanja wa Farasi, jijini Dar es Salaam leo na kihudhuliwa na wadau mbalimbali. Mashindano haya ya mbio za mbuzi huadhimishwa kila mwaka hapa nchini ikiwa ni sehemu ya kuchangisha fedha za kusaidia jamii mbalimbali zenye uhitaji.
Mbuzi wakiendelea kutimua vumbi katika mchuano mkali.
Mmoja wa Mbuzi akiwa kabebwa baada ya kushindwa mbio hizo na kugoma kutembea.
Mbuzi Bingwa wa 'The Southen Sun Fillies Frolic' akipongezwa na wadau.
Shangwe tupu baada ya kuibuka kidedea.


Hivyo makala MBIO ZA MBUZI ZILIVYOFANA JIJINI DAR LEO

yaani makala yote MBIO ZA MBUZI ZILIVYOFANA JIJINI DAR LEO Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala MBIO ZA MBUZI ZILIVYOFANA JIJINI DAR LEO mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/09/mbio-za-mbuzi-zilivyofana-jijini-dar-leo.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "MBIO ZA MBUZI ZILIVYOFANA JIJINI DAR LEO"

Post a Comment