KESI YA UHUJUMU UCHUMI DHIDI YA WALIOKUWA WAFANYAKAZI WA WIZARA YA NISHATI NA MADINI YAPIGWA KALENDA HADI OKTOBA 12,2017.

KESI YA UHUJUMU UCHUMI DHIDI YA WALIOKUWA WAFANYAKAZI WA WIZARA YA NISHATI NA MADINI YAPIGWA KALENDA HADI OKTOBA 12,2017. - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa KESI YA UHUJUMU UCHUMI DHIDI YA WALIOKUWA WAFANYAKAZI WA WIZARA YA NISHATI NA MADINI YAPIGWA KALENDA HADI OKTOBA 12,2017., tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : KESI YA UHUJUMU UCHUMI DHIDI YA WALIOKUWA WAFANYAKAZI WA WIZARA YA NISHATI NA MADINI YAPIGWA KALENDA HADI OKTOBA 12,2017.
kiungo : KESI YA UHUJUMU UCHUMI DHIDI YA WALIOKUWA WAFANYAKAZI WA WIZARA YA NISHATI NA MADINI YAPIGWA KALENDA HADI OKTOBA 12,2017.

soma pia


KESI YA UHUJUMU UCHUMI DHIDI YA WALIOKUWA WAFANYAKAZI WA WIZARA YA NISHATI NA MADINI YAPIGWA KALENDA HADI OKTOBA 12,2017.

 Mkurugenzi wa Tathmini, Archard Alphonce Kalugendo (49) na Mthamini wa Madini ya Almas wa Serikali, Edward Joseph Rweyemamu (50) wakitoka katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam leo.
Na Karama Kenyunko, Blogu ya jamii.

UPANDE wa Mashtaka katika kesi ya uhujumu uchumi na kuisababishia serikali hasara ya zaidi ya bilioni mbili, inayomkabili aliyekuwa Mkurugenzi wa Tathmini, Archard Alphonce Kalugendo (49) na Mthamini wa Madini ya Almas wa Serikali, Edward Joseph Rweyemamu (50) umeieleza mahakama kuwa, sehemu kubwa ya upeleleIezi dhidi ya kesi hiyo umekamilika.

Aidha wamedai kuwa wako kwenye majadiliano kuona kama wataongeza washtakiwa wengine au la.

Wakili wa serikali, Paul Kadushi ameeleza hayo leo mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Respicious Mwijage. Wakati shauri hilo lilipokuja kwa kutajwa na kudai kuwa upelelezi  bado bado haujakamilika.

Aidha upande wa utetzi umeiomba mahakama tarehe itakayofuata upande wa mashtaka uje ueleze hatua ya upelelezi ilipofikia.

Kesi hiyo imeahirishwa hadi Octoba 12 mwaka huu.
Katika kesi hiyo, Kalugendo ambaye ni Mkazi wa Kinyerezi na Rweyemamu anayeishi Mwananyamala ni waajiriwa wa Wizara ya Nishati na  Madini wanadaiwa  kati ya Agosti 25 na ,31, mwaka huu, katika maeneo mbalimbali kati ya Dar es Salaam na Shinyanga washtakiwa

wakiwa wathamini walioajiliwa na Wizara ya Nishati na Madini waliisababishia serikali ya hasara ya USD 1,118,291.43 Ambayo no sawa na 2,486,396,982.54.


Hivyo makala KESI YA UHUJUMU UCHUMI DHIDI YA WALIOKUWA WAFANYAKAZI WA WIZARA YA NISHATI NA MADINI YAPIGWA KALENDA HADI OKTOBA 12,2017.

yaani makala yote KESI YA UHUJUMU UCHUMI DHIDI YA WALIOKUWA WAFANYAKAZI WA WIZARA YA NISHATI NA MADINI YAPIGWA KALENDA HADI OKTOBA 12,2017. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala KESI YA UHUJUMU UCHUMI DHIDI YA WALIOKUWA WAFANYAKAZI WA WIZARA YA NISHATI NA MADINI YAPIGWA KALENDA HADI OKTOBA 12,2017. mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/09/kesi-ya-uhujumu-uchumi-dhidi-ya.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "KESI YA UHUJUMU UCHUMI DHIDI YA WALIOKUWA WAFANYAKAZI WA WIZARA YA NISHATI NA MADINI YAPIGWA KALENDA HADI OKTOBA 12,2017."

Post a Comment