JESHI LA POLISI NA ZIMAMOTO KUJENGA VITUO KATIKA ENEO LINALOJENGWA SHOWROOM ZA MAGARI DAR.

JESHI LA POLISI NA ZIMAMOTO KUJENGA VITUO KATIKA ENEO LINALOJENGWA SHOWROOM ZA MAGARI DAR. - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa JESHI LA POLISI NA ZIMAMOTO KUJENGA VITUO KATIKA ENEO LINALOJENGWA SHOWROOM ZA MAGARI DAR., tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : JESHI LA POLISI NA ZIMAMOTO KUJENGA VITUO KATIKA ENEO LINALOJENGWA SHOWROOM ZA MAGARI DAR.
kiungo : JESHI LA POLISI NA ZIMAMOTO KUJENGA VITUO KATIKA ENEO LINALOJENGWA SHOWROOM ZA MAGARI DAR.

soma pia


JESHI LA POLISI NA ZIMAMOTO KUJENGA VITUO KATIKA ENEO LINALOJENGWA SHOWROOM ZA MAGARI DAR.


Mwambawahabari
Jeshi la Polisi na Jeshi la Zimamoto na Uokoaji  kwapamoja wametembelea kwenye eneo maalumu lililotengwa kwaajili  Showroom  zote za Magari Dar es Salaam Kigamboni kwaajili ya kujionea  Maeneo watakayojenga Kituo cha Polis na Kituo cha Zimamoto.

Upande wa Jeshi la Polisi umewakilishwa na  Kaimu kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es salaam Kamanda Benedict Kitarika ambae amempongeza mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam  Paul Makonda  kwa kuwapatia eneo la kutosha kwaajili ya kujenga Kituo cha Polisi ili kuhakikisha  Ulinzi na Usalama wa Mali zinazoenda kuwekezwa kwenye eneo hilo unakuwepo.

Amesema  Ujenzi wa Kituo cha Polisi Utaanza mara moja na kuwatoa hofu  ya Usalama kwa wale watakaohamishia  Showroom katika eneo hilo.

Kwa upande wake  Kamishina Msaidizi wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Brighton Monyo amesema watahakikisha wanaweka  Magari ya Zimamoto ya Kutosha na Visima  vya kutosha kwenye eneo hilo ikikuhakikisha Majanga ya Moto hayapati nafasi.

Amewahakikishia Usalama wenye Showroom kwakuwa wamejidhatiti  ipasavyo kuhakikisha masuala yote ya kiusalama wa mali zao yanazingatiwa kwakuwa wataweka vifaa vyote vya kuzima kudhibiti Moto.

Ikumbukwe kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam aliagiza wenye Showroom zote zilizopo jijini Dar es Salaam kuhakikisha zinahamia Kigamboni kwenye eneo maalumu lililotengwa kabla ya January Mosi Mwakani.


Hivyo makala JESHI LA POLISI NA ZIMAMOTO KUJENGA VITUO KATIKA ENEO LINALOJENGWA SHOWROOM ZA MAGARI DAR.

yaani makala yote JESHI LA POLISI NA ZIMAMOTO KUJENGA VITUO KATIKA ENEO LINALOJENGWA SHOWROOM ZA MAGARI DAR. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala JESHI LA POLISI NA ZIMAMOTO KUJENGA VITUO KATIKA ENEO LINALOJENGWA SHOWROOM ZA MAGARI DAR. mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/09/jeshi-la-polisi-na-zimamoto-kujenga.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "JESHI LA POLISI NA ZIMAMOTO KUJENGA VITUO KATIKA ENEO LINALOJENGWA SHOWROOM ZA MAGARI DAR."

Post a Comment