title : DEREVA WA LISSU KUITWA POLISI! Sheria inasemaje? Wakili kaeleza kila kitu
kiungo : DEREVA WA LISSU KUITWA POLISI! Sheria inasemaje? Wakili kaeleza kila kitu
DEREVA WA LISSU KUITWA POLISI! Sheria inasemaje? Wakili kaeleza kila kitu
Headline za tukio la kushambuliwa Tundu Lissu ambaye ni Mbunge wa Singida Mashariki na Mwanasheria Mkuu wa CHADEMA zimekuwa zikiendelea tangu tukio hilo lilipotokea September 7, 2017 ambapo moja ya headline kubwa ya karibuni ni kuhusu Jeshi la Polisi kuagiza dereva wake aripoti Polisi.
Sasa Ayo TV na millardayo.com zinaye Wakili wa kujitegemea ambaye ni Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Smile Stars Attorneys, Leonard Manyama ambaye anatueleza kuhusu sheria ambayo inatumika katika kuwahoji watu walioshuhudia tukio kama ilivyo kwa dereva wa Tundu Lissu.
Hivyo makala DEREVA WA LISSU KUITWA POLISI! Sheria inasemaje? Wakili kaeleza kila kitu
yaani makala yote DEREVA WA LISSU KUITWA POLISI! Sheria inasemaje? Wakili kaeleza kila kitu Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala DEREVA WA LISSU KUITWA POLISI! Sheria inasemaje? Wakili kaeleza kila kitu mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/09/dereva-wa-lissu-kuitwa-polisi-sheria.html
0 Response to "DEREVA WA LISSU KUITWA POLISI! Sheria inasemaje? Wakili kaeleza kila kitu"
Post a Comment