title : WAZIRI KAIRUKI AZINDUA MPANGO WA ELIMU YA RUSHWA KUTUMIA MABASI YA UDART LEO.
kiungo : WAZIRI KAIRUKI AZINDUA MPANGO WA ELIMU YA RUSHWA KUTUMIA MABASI YA UDART LEO.
WAZIRI KAIRUKI AZINDUA MPANGO WA ELIMU YA RUSHWA KUTUMIA MABASI YA UDART LEO.
Mgeni Rasmi Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais MeneJementi ya Utumishi wa Umma na Uongozi Bora, Angelah Kairuki akikata utepe kuashiria uznduzi wa mpango elimu ya ruswa utakaornezwa na mabasi takribani 60 ya UDART. Pmoja naye ni Katibu Tawala wa Mkoa wa Dar es Salaam, Theresia Mmbando na viongozi mbalimbali.
Mgeni Rasmi Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menegementi ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Angelah Kairuki akimshukuru Msanii Mrisho Mpoto kwa kazi nzuri ya kufikisha ujumbe kwa jamii katika hafla ya uzinduzi huo.
Mgeni Rasmi Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menegementi ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Angelah Kairuki akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa meza kuu pamoja na viongozi mbalimbali.
(Imeandaliwa na Robert Okanda Blogspot)
Hivyo makala WAZIRI KAIRUKI AZINDUA MPANGO WA ELIMU YA RUSHWA KUTUMIA MABASI YA UDART LEO.
yaani makala yote WAZIRI KAIRUKI AZINDUA MPANGO WA ELIMU YA RUSHWA KUTUMIA MABASI YA UDART LEO. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala WAZIRI KAIRUKI AZINDUA MPANGO WA ELIMU YA RUSHWA KUTUMIA MABASI YA UDART LEO. mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/08/waziri-kairuki-azindua-mpango-wa-elimu.html
0 Response to "WAZIRI KAIRUKI AZINDUA MPANGO WA ELIMU YA RUSHWA KUTUMIA MABASI YA UDART LEO."
Post a Comment