Tigo yakabidhi kisima cha maji kwa Wananchi wa Kijiji cha Usongelani wilayani Urambo, Tabora

Tigo yakabidhi kisima cha maji kwa Wananchi wa Kijiji cha Usongelani wilayani Urambo, Tabora - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Tigo yakabidhi kisima cha maji kwa Wananchi wa Kijiji cha Usongelani wilayani Urambo, Tabora, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Tigo yakabidhi kisima cha maji kwa Wananchi wa Kijiji cha Usongelani wilayani Urambo, Tabora
kiungo : Tigo yakabidhi kisima cha maji kwa Wananchi wa Kijiji cha Usongelani wilayani Urambo, Tabora

soma pia


Tigo yakabidhi kisima cha maji kwa Wananchi wa Kijiji cha Usongelani wilayani Urambo, Tabora


Mkuu wa mkoa wa Tabora, Aggrey Mwanry akipampu maji katika kisima cha maji kilichotolewa Msaada na Kampuni ya simu za Mkononi nchini Tigo katika Kijiji cha Usongelani wilayani Urambo mkoani Tabora,Kisima hicho kimegharimu zaidi ya shilingi milioni 18. 
Mkuu wa mkoa wa Tabora, Aggrey Mwanry akifungua pazia kuashiria uzinduzi rasmi kisima cha maji kilichotolewa Msaada na Kampuni ya simu za Mkononi nchini Tigo katika Kijiji cha Usongelani wilayani Urambo mkoani Tabora. Kisima hicho kimegharimu zaidi ya shilingi milioni 18.
Mkuu wa mkoa wa Tabora, Aggrey Mwanry akimtwisha ndoo ya maji mmoja kati ya wananchi wa kijiji cha Usongelani ikiwa ni ishara ya kuzindua kisima hicho kilichotolewa msaada na kampuni ya Tigo ambapo kitahudumia wakaazi wa Kijiji cha usongelani na maeneo jirani ikiwa ni hatua muhimu kwa kampuni ya Tigo kurejesha kiasi cha faida kwa wananchi. 

Mkuu wa mkoa wa Tabora, Aggrey Mwanry (wa pili kushoto walioketi) akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wafanyakazi wa Kampuni ya simu ya Tigo pamoja na watendaji wa Mkoa huo, baada ya uzinduzi wa kisima kilichotolewa msaada na Tigo wakati wa hafla fupi ya kukabidhi kisima hicho kwa wakaazi wa kijiji cha Usongelani kilichogharimu zaidi ya shilingi milioni 18.


Hivyo makala Tigo yakabidhi kisima cha maji kwa Wananchi wa Kijiji cha Usongelani wilayani Urambo, Tabora

yaani makala yote Tigo yakabidhi kisima cha maji kwa Wananchi wa Kijiji cha Usongelani wilayani Urambo, Tabora Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Tigo yakabidhi kisima cha maji kwa Wananchi wa Kijiji cha Usongelani wilayani Urambo, Tabora mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/08/tigo-yakabidhi-kisima-cha-maji-kwa.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Tigo yakabidhi kisima cha maji kwa Wananchi wa Kijiji cha Usongelani wilayani Urambo, Tabora"

Post a Comment