title : MWANARIADHA ALPHONCE SIMBU APOKELEWA KWA SHANGWE NCHINI
kiungo : MWANARIADHA ALPHONCE SIMBU APOKELEWA KWA SHANGWE NCHINI
MWANARIADHA ALPHONCE SIMBU APOKELEWA KWA SHANGWE NCHINI
Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo, Mhe.Dkt. Harrison Mwakyembe (kulia) pamoja na baadhi ya Viongozi wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) wakimpongeza Mwanariadha Alphonce Simbu kwa kuibuka mshindi wa tatu ambapo alijinyakulia medali ya shaba. Hafla hiyo ilikuwa ni maalum ya kumpokea yeye pamoja na wanariadha wengine wakiwasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa J.K Nyerere toka nchini Uingereza kwenye Mashindano ya Marathon ya 2017.
Mwanariadha Alphonce Simbu akiwashukuru Viongozi mbalimbali waliokuja kumpokea na kumpongeza kwa ushindi wake katika Mashindano ya Mbio nchini Uingereza kwa mwaka 2017 ambapo aliweza kujinyakulia medali ya shaba.
Wazazi wa Mwanariadha Alphonce Simbu wakiwaonyesha Waandishi wa habari (hawapo pichani) medali ya shaba aliyoshinda mtoto wao katika Mashindano ya Mbio nchini Uingereza kwa mwaka 2017.
Mwanariadha Alphonce Simbu akiwaonyesha Waandishi wa habari (hawapo pichani) medali ya shaba aliyoshinda katika Mashindano ya Mbio nchini Uingereza kwa mwaka 2017.
Hivyo makala MWANARIADHA ALPHONCE SIMBU APOKELEWA KWA SHANGWE NCHINI
yaani makala yote MWANARIADHA ALPHONCE SIMBU APOKELEWA KWA SHANGWE NCHINI Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala MWANARIADHA ALPHONCE SIMBU APOKELEWA KWA SHANGWE NCHINI mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/08/mwanariadha-alphonce-simbu-apokelewa.html
0 Response to "MWANARIADHA ALPHONCE SIMBU APOKELEWA KWA SHANGWE NCHINI"
Post a Comment