title : Lulu Diva adai Wizkid hakuambulia kitu kwake
kiungo : Lulu Diva adai Wizkid hakuambulia kitu kwake
Lulu Diva adai Wizkid hakuambulia kitu kwake
Msanii wa Bongo Flava, Lulu Diva amekanusha tetesi za kuwahi kutoka kimapenzi na msanii Wizkid kutoka nchini Nigeria.
“Alikuwa na special appearance na mimi nilikuwepo siku hiyo na tulipanga mimi na meneja wangu kwa sababu kuna mtu alikuwa anajuana naye alimuita Wizkid pale, kwa hiyo waliongea kuwa tunaenda kukutana kama wasanii na tuliongea kuhusu muziki, so we have fan pale na ikaishia hapo hakukua na kitu kingine,” amesema na kuongeza.
“After party hakuna niliwahi kuondoka tuliongea kuhusu muziki tu…, yeah tutarajie kitu kwa sababu yeye ni msanii na mimi ni msanii hivyo tunaweza tukafanya kitu kizuri zaidi,” amesisitiza.
Hivyo makala Lulu Diva adai Wizkid hakuambulia kitu kwake
yaani makala yote Lulu Diva adai Wizkid hakuambulia kitu kwake Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala Lulu Diva adai Wizkid hakuambulia kitu kwake mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/08/lulu-diva-adai-wizkid-hakuambulia-kitu.html
0 Response to "Lulu Diva adai Wizkid hakuambulia kitu kwake"
Post a Comment