Tumieni fursa zilizopo kuanzisha viwanda kukuza uchumi

Tumieni fursa zilizopo kuanzisha viwanda kukuza uchumi - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Tumieni fursa zilizopo kuanzisha viwanda kukuza uchumi, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Tumieni fursa zilizopo kuanzisha viwanda kukuza uchumi
kiungo : Tumieni fursa zilizopo kuanzisha viwanda kukuza uchumi

soma pia


Tumieni fursa zilizopo kuanzisha viwanda kukuza uchumi

Watanzania wametakiwa kutumia fursa zinazoendelea kuwekwa na serikali ya awamu ya tano kujikita katika ujasiriamali na kuanzisha viwanda kwa ajili ya kujenga uchumi viwanda ili kufikia uchumi kati na kuboresha ustawi wa jamii hapa nchini

Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji,Profesa Adolf Mkenda alisema hayo wakati wa mkutano wa wadau uliokuwa ukijadili rasimu ya mapendekezo ya kuwa na mkakati wa kitaifa kuendeleza ujasiriamali hapa nchini, kuwa wakati wa watanzania kujikita katika ujasiriamali na kuwekeza katika viwanda umewadia.

“Wakati wa watanzania kuanzisha viwanda kuzalisha bidhaa zinazotokana na mali ghafi za hapa nchini umewadia,” na hakuna wakati mzuri zaidi kuliko kipindi hiki ambacho serikali imweka kipaumbele zaidi katika hili, aliongeza kusema Profesa Mkenda.

Mkakati huo wa kitaifa wa kuendeleza ujasiriamali umeandaliwa na Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC) kwa kushirikiana na wadau mbalimbali likiwemo Shirika la Umoja wa Mataifa Linalojihusisha na Maendeleo ya Biashara (UNCTAD).
Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji,Profesa Adolf Mkenda (katikati) akifuatilia mada iliyokuwa inatolewa na Mwezeshaji, Dkt Donath Olomi hayupo pichani wakati wa mkutano wa wadau uliokuwa ukijadili rasimu ya mapendekezo ya kuwa na mkakati wa kitaifa kuendeleza ujasiriamali hapa nchini, wapili kushoto Katibu Mtendaji wa Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC),Bi. Beng’I Issa, kushoto ni Mwakilishi kutoka Shirika la Umoja wa Mataifa Linalojihusisha na Maendeleo ya Biashara (UNCTAD),Bw. Lorenzo Tosini, wa pili kuli ni Mkurugenzi Msaidizi Mazingira ya Biashara Ofisi ya Waziri Mkuu, Bw. Christopher Mramba na kulia ni Mkurugenzi wa Uwezeshaji wa baraza hilo, Bi. Anna Dominick.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji,Profesa Adolf Mkenda (katikati) akiteta jambo na Katibu Mtendaji wa Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC),Bi. Beng’I Issa, wakati wa mkutano wa wadau uliokuwa ukijadili rasimu ya mapendekezo ya kuwa na mkakati wa kitaifa kuendeleza ujasiriamali hapa nchini, na kulia ni Mwakilishi kutoka Shirika la Umoja wa Mataifa Linalojihusisha na Maendeleo ya Biashara (UNCTAD),Bw. Lorenzo Tosini.


Wadau kutoka taasisi mbalimbali wakiwa katika makundi wakati wa mkutano uliokuwa ukijadili rasimu ya mapendekezo ya kuwa na mkakati wa kitaifa wa kuendeleza ujasiriamali hapa nchini, aliyesimama ni mwezeshaji wa mkutano huo, Dkt. Donath Olomi.



Hivyo makala Tumieni fursa zilizopo kuanzisha viwanda kukuza uchumi

yaani makala yote Tumieni fursa zilizopo kuanzisha viwanda kukuza uchumi Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Tumieni fursa zilizopo kuanzisha viwanda kukuza uchumi mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/07/tumieni-fursa-zilizopo-kuanzisha.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Tumieni fursa zilizopo kuanzisha viwanda kukuza uchumi"

Post a Comment