Taarifa ya Ufafanuzi Toka Wizara ya Mambo ya Nje Juu ya Uhusiano wa Kibiashara na Serikali ya Kenya

Taarifa ya Ufafanuzi Toka Wizara ya Mambo ya Nje Juu ya Uhusiano wa Kibiashara na Serikali ya Kenya - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Taarifa ya Ufafanuzi Toka Wizara ya Mambo ya Nje Juu ya Uhusiano wa Kibiashara na Serikali ya Kenya, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Taarifa ya Ufafanuzi Toka Wizara ya Mambo ya Nje Juu ya Uhusiano wa Kibiashara na Serikali ya Kenya
kiungo : Taarifa ya Ufafanuzi Toka Wizara ya Mambo ya Nje Juu ya Uhusiano wa Kibiashara na Serikali ya Kenya

soma pia


Taarifa ya Ufafanuzi Toka Wizara ya Mambo ya Nje Juu ya Uhusiano wa Kibiashara na Serikali ya Kenya


Pix 01
Mkurugenzi, Idara ya Ushirikiano wa Kikanda toka Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Balozi Innocent Shiyo akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu mazungumzo ya pamoja kuhusu mahusiano ya kibiashara kati ya Serikali ya Tanzania na Kenya mapema hii leo jijini Dar es Salaam, kulia ni Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa wa Tanzania Balozi Dkt. Augustine Mahiga.
Pix 03
Baadhi ya waandishi wa habari wakimfuatilia Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa wa Tanzania Balozi Dkt. Augustine Mahiga (hayupo pichani) wakati akitoa ufafanuzi kuhusu mazungumzo ya pamoja kuhusu mahusiano ya kibiashara kati ya Serikali ya Tanzania na Kenya mapema hii leo jijini Dar es Salaam.
Pix 02
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa wa Tanzania Balozi Dkt. Augustine Mahiga (kulia) akifafanua jambo kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu mazungumzo ya pamoja kuhusu mahusiano ya kibiashara kati ya Serikali ya Tanzania na Kenya mapema hii leo jijini Dar es Salaam, katikati ni Mkurugenzi, Idara ya Ushirikiano wa Kikanda toka Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Balozi Innocent Shiyo na kushoto ni Kaimu Balozi wa Kenya nchini Tanzania Peter Sang.
Picha na Eliphace Marwa -Maelezo


Hivyo makala Taarifa ya Ufafanuzi Toka Wizara ya Mambo ya Nje Juu ya Uhusiano wa Kibiashara na Serikali ya Kenya

yaani makala yote Taarifa ya Ufafanuzi Toka Wizara ya Mambo ya Nje Juu ya Uhusiano wa Kibiashara na Serikali ya Kenya Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Taarifa ya Ufafanuzi Toka Wizara ya Mambo ya Nje Juu ya Uhusiano wa Kibiashara na Serikali ya Kenya mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/07/taarifa-ya-ufafanuzi-toka-wizara-ya.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Taarifa ya Ufafanuzi Toka Wizara ya Mambo ya Nje Juu ya Uhusiano wa Kibiashara na Serikali ya Kenya"

Post a Comment