Ofisi za kampuni ya Sahara Media Group inayomiliki vituo vya Star TV na Radio Free Africa (RFA) leo zimefungwa na TRA

Ofisi za kampuni ya Sahara Media Group inayomiliki vituo vya Star TV na Radio Free Africa (RFA) leo zimefungwa na TRA - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Ofisi za kampuni ya Sahara Media Group inayomiliki vituo vya Star TV na Radio Free Africa (RFA) leo zimefungwa na TRA, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Ofisi za kampuni ya Sahara Media Group inayomiliki vituo vya Star TV na Radio Free Africa (RFA) leo zimefungwa na TRA
kiungo : Ofisi za kampuni ya Sahara Media Group inayomiliki vituo vya Star TV na Radio Free Africa (RFA) leo zimefungwa na TRA

soma pia


Ofisi za kampuni ya Sahara Media Group inayomiliki vituo vya Star TV na Radio Free Africa (RFA) leo zimefungwa na TRA

Ofisi za Kampuni ya Sahara Media Group inayomiliki kituo cha televisheni cha Star na cha redio cha Radio Free Africa (RFA) zimefungwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kwa deni la Sh4.5 bilioni.

Ofisi hizo zimefungwa leo Alhamisi (Julai 13) na wakala wa TRA, Kampuni ya Sukah Auction Mart and Court Brokers ya jijini Mwanza.

Meneja utumishi na utawala wa Sahara Media Group, Raphael Shilatu amesema ni kweli wana malimbikizo ya madeni yanayotokana na kuhama kutoka mfumo wa analogia kwenda digitali.


Hivyo makala Ofisi za kampuni ya Sahara Media Group inayomiliki vituo vya Star TV na Radio Free Africa (RFA) leo zimefungwa na TRA

yaani makala yote Ofisi za kampuni ya Sahara Media Group inayomiliki vituo vya Star TV na Radio Free Africa (RFA) leo zimefungwa na TRA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Ofisi za kampuni ya Sahara Media Group inayomiliki vituo vya Star TV na Radio Free Africa (RFA) leo zimefungwa na TRA mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/07/ofisi-za-kampuni-ya-sahara-media-group.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Ofisi za kampuni ya Sahara Media Group inayomiliki vituo vya Star TV na Radio Free Africa (RFA) leo zimefungwa na TRA"

Post a Comment