NAIBU WAZIRI TAMISEMI SELEMANI JAFFO AKABIDHI HUNDI YA MILIONI 70 KWA VIJANA NA WANAWAKE, AIPONGEZA MANISPAA YA DODOMA

NAIBU WAZIRI TAMISEMI SELEMANI JAFFO AKABIDHI HUNDI YA MILIONI 70 KWA VIJANA NA WANAWAKE, AIPONGEZA MANISPAA YA DODOMA - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa NAIBU WAZIRI TAMISEMI SELEMANI JAFFO AKABIDHI HUNDI YA MILIONI 70 KWA VIJANA NA WANAWAKE, AIPONGEZA MANISPAA YA DODOMA, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : NAIBU WAZIRI TAMISEMI SELEMANI JAFFO AKABIDHI HUNDI YA MILIONI 70 KWA VIJANA NA WANAWAKE, AIPONGEZA MANISPAA YA DODOMA
kiungo : NAIBU WAZIRI TAMISEMI SELEMANI JAFFO AKABIDHI HUNDI YA MILIONI 70 KWA VIJANA NA WANAWAKE, AIPONGEZA MANISPAA YA DODOMA

soma pia


NAIBU WAZIRI TAMISEMI SELEMANI JAFFO AKABIDHI HUNDI YA MILIONI 70 KWA VIJANA NA WANAWAKE, AIPONGEZA MANISPAA YA DODOMA


1
Naibu waziri Ofisi ya Rais TAMISEMI Selemani Jaffo akikabidhi mfani wa Hundi ya shilingi milioni 70 kwa wawakilishi wa vikundi vya wanawake na vijana (kulia na kushoto) wakati wa hafla fupi ya makabidhiano ya fedha hizo zilizotolewa na Halmashauri ya Manispaa ya Dodoma kwa ajili ya vikundi hivyo leo katika ukumbi wa Manispaa hiyo
2
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Dodoma Godwin Kunambi (kushoto) akitoa taarifa ya utangulizi kabla Naibu waziri Ofisi ya Rais TAMISEMI Selemani Jaffo hajakabidhi mfani wa Hundi ya shilingi milioni 70 kwa wawakilishi wa vikundi vya wanawake na vijana  wakati wa hafla fupi ya makabidhiano ya fedha hizo zilizotolewa na Halmashauri ya Manispaa ya Dodoma kwa ajili ya vikundi hivyo leo katika ukumbi wa Manispaa hiyo.
3
Naibu waziri Ofisi ya Rais TAMISEMI Selemani Jaffo akizungumza kabla ya kukabidhi mfani wa Hundi ya shilingi milioni 70 kwa wawakilishi wa vikundi vya wanawake na vijana  wakati wa hafla fupi ya makabidhiano ya fedha hizo zilizotolewa na Halmashauri ya Manispaa ya Dodoma kwa ajili ya vikundi hivyo leo katika ukumbi wa Manispaa hiyo. PICHA NA RAMADHANI JUMA, OFISI YA MKURUGENZI.
…………………..

Na RamadhaniJuma,
OfisiyaMkurugenziwaManispaa

NAIBU WaziriOfisiyaRais TAMISEMI SelemaniJaffoameipongezaHalmashauriyaManispaaya Dodoma kwakutekeleza Sera namaelekezoyaSerikalikwavitendoikiwanipamojanakuhakikishakuwa, asilimia 10 yafedhazinazotokananamapatoyandanizinatengwanakutumikakwaajiliyakuwawezeshaWanawakenaVijana.
NaibuWaziriJaffoametoapongezihizowakatiakikabidhimfanowahundiyashilingimilioni 70 zilizotolewanaManispaahiyokwaajilivikundivyaVijananaWanawakekatikahaflafupiyamakabidhianaoiliyofanyikaleokatikaukumbiwaManispaaya Dodoma.
AlisemaHalmashauriyaManispaaya Dodoma imeoneshamfanokwavitendonakwambaHalmashaurizinginezijifunzenakuiga, ambapoamedaihayonimatokeoyaushirikianomzuriwakaziuliopokatiyaMadiwani, Mkurugenzi, WakuuwaIdaranaWatumishi wote.
Akizungumzawakatiwahaflahiyo, MkurugenziwaHalmashauriyaManispaaya Dodoma Godwin Kunambialisemafedhahizozinatarajiwakuvinufaishavikundi 66, vikiwemo 18 vyavijanana 48 vyawanawake.
Alisema, HalmashaurihiyoimekuwaakitumiafedhazaMapatoyandanikwakuzingatiamaelekezoyaSerikaliambapopamojanakutoaasilimia 10 kwaajiliyavijananawanawake, piaasilimia 30 inaelekezwakatikakatikamiradiyaMaendeleoambapompakasasa Kata 25 zimepatiwasehemuyafedhakwaajilimiradiyamaendeleo.
Aidha, KunambialisemakwasasaHalmashaurihiyoinaanzakusajilivikundivyawalemavuambavyokwamujibuwa Sera naMaelekezoyaSerikalivinatakiwakupatiwaasilimiambiliyaMakusanyoyafedhazinatokananavyanzovyandani.


Hivyo makala NAIBU WAZIRI TAMISEMI SELEMANI JAFFO AKABIDHI HUNDI YA MILIONI 70 KWA VIJANA NA WANAWAKE, AIPONGEZA MANISPAA YA DODOMA

yaani makala yote NAIBU WAZIRI TAMISEMI SELEMANI JAFFO AKABIDHI HUNDI YA MILIONI 70 KWA VIJANA NA WANAWAKE, AIPONGEZA MANISPAA YA DODOMA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala NAIBU WAZIRI TAMISEMI SELEMANI JAFFO AKABIDHI HUNDI YA MILIONI 70 KWA VIJANA NA WANAWAKE, AIPONGEZA MANISPAA YA DODOMA mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/07/naibu-waziri-tamisemi-selemani-jaffo.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "NAIBU WAZIRI TAMISEMI SELEMANI JAFFO AKABIDHI HUNDI YA MILIONI 70 KWA VIJANA NA WANAWAKE, AIPONGEZA MANISPAA YA DODOMA"

Post a Comment