Mjasiriamali Magdalena Uronu aonyesha ubunifu wake katika Maonyesho ya Sabasaba

Mjasiriamali Magdalena Uronu aonyesha ubunifu wake katika Maonyesho ya Sabasaba - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Mjasiriamali Magdalena Uronu aonyesha ubunifu wake katika Maonyesho ya Sabasaba, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Mjasiriamali Magdalena Uronu aonyesha ubunifu wake katika Maonyesho ya Sabasaba
kiungo : Mjasiriamali Magdalena Uronu aonyesha ubunifu wake katika Maonyesho ya Sabasaba

soma pia


Mjasiriamali Magdalena Uronu aonyesha ubunifu wake katika Maonyesho ya Sabasaba

Muhitimu wa shahada ya computer science, Magdalena Uronu akionyesha bidhaa zake anazotengeneza yeye katika Maonyesho ya 41 ya biashara yanayoendelea jijini Dar es Salaam. Magdalena anayejulikana kama mkurugenzi wa Megy Precious watengenezaji wa bidhaa zenye asili na utamaduni wa kiafrika kama mikoba Viatu bangili na heleni amasema ameamua kujiajiri baada ya kuona kuna fursa ya kufanya hivyo na siyo kutegemea ajira tu. Amesema biashara hiyo aliyoianza muda mfupi baada ya kupata stashahada yake imemuwezesha kuajiri vijana watatu wa kumsaidia katika shughuli hio.


Hivyo makala Mjasiriamali Magdalena Uronu aonyesha ubunifu wake katika Maonyesho ya Sabasaba

yaani makala yote Mjasiriamali Magdalena Uronu aonyesha ubunifu wake katika Maonyesho ya Sabasaba Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Mjasiriamali Magdalena Uronu aonyesha ubunifu wake katika Maonyesho ya Sabasaba mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/07/mjasiriamali-magdalena-uronu-aonyesha.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Mjasiriamali Magdalena Uronu aonyesha ubunifu wake katika Maonyesho ya Sabasaba"

Post a Comment