MATUKIO KATIKA PICHA: YALIYOJIRI KATIKA KIKAO CHA 60 MKUTANO WA SABA BUNGE LA 11 MJINI DODOMA LEO JULAI 5, 2017.

MATUKIO KATIKA PICHA: YALIYOJIRI KATIKA KIKAO CHA 60 MKUTANO WA SABA BUNGE LA 11 MJINI DODOMA LEO JULAI 5, 2017. - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa MATUKIO KATIKA PICHA: YALIYOJIRI KATIKA KIKAO CHA 60 MKUTANO WA SABA BUNGE LA 11 MJINI DODOMA LEO JULAI 5, 2017., tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : MATUKIO KATIKA PICHA: YALIYOJIRI KATIKA KIKAO CHA 60 MKUTANO WA SABA BUNGE LA 11 MJINI DODOMA LEO JULAI 5, 2017.
kiungo : MATUKIO KATIKA PICHA: YALIYOJIRI KATIKA KIKAO CHA 60 MKUTANO WA SABA BUNGE LA 11 MJINI DODOMA LEO JULAI 5, 2017.

soma pia


MATUKIO KATIKA PICHA: YALIYOJIRI KATIKA KIKAO CHA 60 MKUTANO WA SABA BUNGE LA 11 MJINI DODOMA LEO JULAI 5, 2017.

PIX 1 Mhe.Tulia
Naibu Spika  wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dk.Tulia Ackson  akiongoza    kikao cha sitini cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Julai 5, 2017.
PIX 2 Mhe.Masaju
Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe.George Masaju akisoma maelezo ya Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria mbalimbali wa mwaka 2017 katika  kikao sitini  cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Julai 5, 2017.
PIX 3 Mhe.Manyanya
Naibu Waziri wa Elimu,Sayansi na Teknolojia Mhe.Eng Stella Manyanya akijibu maswali mbalimbali ya wabunge kikao cha sitini cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Julai 5, 2017.
PIX 4 Mhe.kIjaji
Naibu Waziri wa Fedha na Mipango Mhe.Dk Ashatu Kijaji akijibu maswali mbalimbali ya wabunge katika kikao cha sitini cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Julai 5, 2017.
PIX 5 Wachezaji wa Singida united
Viongozi na wachezaji wa timu ya Singida United wakiwa wakifuatilia mijadala ya bunge   katika kikao cha sitini cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Julai 5, 2017.
Picha Zote na Daudi Manongi- Dodoma MAELEZO, DODOMA


Hivyo makala MATUKIO KATIKA PICHA: YALIYOJIRI KATIKA KIKAO CHA 60 MKUTANO WA SABA BUNGE LA 11 MJINI DODOMA LEO JULAI 5, 2017.

yaani makala yote MATUKIO KATIKA PICHA: YALIYOJIRI KATIKA KIKAO CHA 60 MKUTANO WA SABA BUNGE LA 11 MJINI DODOMA LEO JULAI 5, 2017. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala MATUKIO KATIKA PICHA: YALIYOJIRI KATIKA KIKAO CHA 60 MKUTANO WA SABA BUNGE LA 11 MJINI DODOMA LEO JULAI 5, 2017. mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/07/matukio-katika-picha-yaliyojiri-katika_5.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "MATUKIO KATIKA PICHA: YALIYOJIRI KATIKA KIKAO CHA 60 MKUTANO WA SABA BUNGE LA 11 MJINI DODOMA LEO JULAI 5, 2017."

Post a Comment