MAGONJWA YASIYOAMBUKIZWA YANAWEZA KUEPUKIKA KWA KULA VYAKULA VYA ASILI PAMOJA NA KUFANYA MAZOEZI

MAGONJWA YASIYOAMBUKIZWA YANAWEZA KUEPUKIKA KWA KULA VYAKULA VYA ASILI PAMOJA NA KUFANYA MAZOEZI - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa MAGONJWA YASIYOAMBUKIZWA YANAWEZA KUEPUKIKA KWA KULA VYAKULA VYA ASILI PAMOJA NA KUFANYA MAZOEZI, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : MAGONJWA YASIYOAMBUKIZWA YANAWEZA KUEPUKIKA KWA KULA VYAKULA VYA ASILI PAMOJA NA KUFANYA MAZOEZI
kiungo : MAGONJWA YASIYOAMBUKIZWA YANAWEZA KUEPUKIKA KWA KULA VYAKULA VYA ASILI PAMOJA NA KUFANYA MAZOEZI

soma pia


MAGONJWA YASIYOAMBUKIZWA YANAWEZA KUEPUKIKA KWA KULA VYAKULA VYA ASILI PAMOJA NA KUFANYA MAZOEZI

Na Chalila Kibuda, Globu ya Jamii
Magonjwa yasiyoambukizwa yanaweza  kuepukika kwa kutumia vyakula vya asili pamoja na kufanya mazoezi ambapo hakuna gharama inaweza kufanya mtu kuchangia. Magonjwa hayo ambayo ni Kisukari, shinikizo la Damu, pamoja na Unene wa kupindukia.

 Hayo aliyasema Mwenyekiti wa Kikundi cha Mtambani  kilichopo Mlandizi wilayani Kibaha, mkoani Pwani, Mohamed Pongwe wakati akizungumza na Michuzi Blog, amesema kuwa magonjwa yasiyombukizwa yanaweza kuepukika kwa kula vyakula visivyo na mafuta pamoja na kufanya mazoezi katika mazingira wanayoishi.

Amesema walipata elimu baada ya Shirika la Help Age International  kupitia mradi wa Afya kwa Rika Zote  ambapo  waliweza kuanza ufugaji wa kuku pamoja na kilimo cha mboga mboga.

Pongwe amesema kuwa wanafanya kilimo cha mboga mboga  na ufugaji wa kuku  ambapo wanauza na fedha zinazopatika zinaingia katika kikundi pamoja na wao wenyewe kula mboga mboga na mayai na nyama za kuku hali ambayo imeweza kuboresha afya zao.

Aidha amesema katika miradi hiyo wameza kupata laki tano ambapo uzalishaji unaendelea katika maeneo yote ikiwa ni pamoja na kubadilika kiuchumi katika kikundi.
 Mwenyekiti wa Kikundi Cha Mtambani, Mohaamed Pongwe akizungumza  katika sehemu wanayofanya kilimo cha mboga mboga.
 Mwanakikundi, Mwajuma Fanuel akizungumza na katika sehemu ya kilimo cha mbogamboga .
 Baadhi ya wanakikundi wakiweka mbolea ya kinyesi cha kuku katika shamba la mbogamboga.
Wanakikundi wa Mtambani Mlandizi wakiwa katika picha ya pamoja 


Hivyo makala MAGONJWA YASIYOAMBUKIZWA YANAWEZA KUEPUKIKA KWA KULA VYAKULA VYA ASILI PAMOJA NA KUFANYA MAZOEZI

yaani makala yote MAGONJWA YASIYOAMBUKIZWA YANAWEZA KUEPUKIKA KWA KULA VYAKULA VYA ASILI PAMOJA NA KUFANYA MAZOEZI Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala MAGONJWA YASIYOAMBUKIZWA YANAWEZA KUEPUKIKA KWA KULA VYAKULA VYA ASILI PAMOJA NA KUFANYA MAZOEZI mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/07/magonjwa-yasiyoambukizwa-yanaweza.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "MAGONJWA YASIYOAMBUKIZWA YANAWEZA KUEPUKIKA KWA KULA VYAKULA VYA ASILI PAMOJA NA KUFANYA MAZOEZI"

Post a Comment