JICA watembelea hospitali yaTaifa ya Muhimbili

JICA watembelea hospitali yaTaifa ya Muhimbili - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa JICA watembelea hospitali yaTaifa ya Muhimbili, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : JICA watembelea hospitali yaTaifa ya Muhimbili
kiungo : JICA watembelea hospitali yaTaifa ya Muhimbili

soma pia


JICA watembelea hospitali yaTaifa ya Muhimbili

 Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Profesa Lawrence Museru akizungumza na ujumbe kutoka JICA. Ujumbe huo umetembelea wagonjwa pamoja na miradi mbalimbali  ya kuboresha huduma za afya katika hospitali hiyo leo.
 Wageni kutoka JICA wakiwa katika ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Profesa Lawrence Museru. Kutoka kushoto ni Ofisa wa Hospitali Kuu ya Shonan Kamakura, Emiko Shiono,  Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa JICA Idara ya Afrika, Komori Masakatsu, Mwakilishi wa Afrika nchini Japan, Milanga Mwanatambwe na Meneja wa Tiba, Injinia Katsumasa Shirai.
 Ofisa Mipango, Catherine Shirima (kulia) wa JICA na Yamae Mikuni kutoka Japan wakiwa kwenye mkutano huo leo.
Wageni hao pamoja na wenyeji wakiwa katika wodi ya wagonjwa Muhimbili leo.


Hivyo makala JICA watembelea hospitali yaTaifa ya Muhimbili

yaani makala yote JICA watembelea hospitali yaTaifa ya Muhimbili Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala JICA watembelea hospitali yaTaifa ya Muhimbili mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/07/jica-watembelea-hospitali-yataifa-ya.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "JICA watembelea hospitali yaTaifa ya Muhimbili"

Post a Comment