title : IGP SIRRO ATEUA MSEMAJI MPYA WA JESHI LA POLISI
kiungo : IGP SIRRO ATEUA MSEMAJI MPYA WA JESHI LA POLISI
IGP SIRRO ATEUA MSEMAJI MPYA WA JESHI LA POLISI
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Simon Sirro.
MKUU wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Simon Sirro amemteua Kamishina Msaidizi wa Polisi (ACP), Barnabas Mwakalukwa kuwa msemaji mpya wa jeshi hilo, akichukua nafasi ya Kamishina Msaidizi, Advera John Bulimba ambaye atapangiwa kazi nyingine.
Kamishina Msaidizi, Advera John Bulimba.
Uteuzi wa Mwakalukwa unatajwa kuwa moja ya harakati za IGP Siro kulifanyia mabadiliko jeshi hilo, katika kuboresha utendaji kazi wake ikiwa ni pamoja na kujizatiti na mapambano ya uhalifu.
Kabla ya uteuzi huo, Kamishina Msaidizi Mwakalukwa amelitumikia Jeshi la Polisi kwa nafasi na nyadhifa mbalimbali, ikiwa ni pamoja na Kamanda wa Oparesheni wa mikoa mbalimbali pamoja na ngazi zingine za utumishi wa juu.
Hivyo makala IGP SIRRO ATEUA MSEMAJI MPYA WA JESHI LA POLISI
yaani makala yote IGP SIRRO ATEUA MSEMAJI MPYA WA JESHI LA POLISI Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala IGP SIRRO ATEUA MSEMAJI MPYA WA JESHI LA POLISI mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/07/igp-sirro-ateua-msemaji-mpya-wa-jeshi.html
0 Response to "IGP SIRRO ATEUA MSEMAJI MPYA WA JESHI LA POLISI"
Post a Comment