DC MUFINDI: VIJANA MNAOFUZU MAFUNZO YA JKT MUWE WALINZI NAMBA MOJA WA NCHI YENU. - Hallo rafiki
WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa DC MUFINDI: VIJANA MNAOFUZU MAFUNZO YA JKT MUWE WALINZI NAMBA MOJA WA NCHI YENU., tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts
makala afya,
makala biashara,
makala general,
makala hobby,
makala karibuni info,
makala michezo,
makala siasa,
makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.
title :
DC MUFINDI: VIJANA MNAOFUZU MAFUNZO YA JKT MUWE WALINZI NAMBA MOJA WA NCHI YENU.kiungo :
DC MUFINDI: VIJANA MNAOFUZU MAFUNZO YA JKT MUWE WALINZI NAMBA MOJA WA NCHI YENU.
DC MUFINDI: VIJANA MNAOFUZU MAFUNZO YA JKT MUWE WALINZI NAMBA MOJA WA NCHI YENU.
Na Ofisa Habari Mufindi
Serikali Wilayani Mufindi, amewataka vijana waliohitimu mafunzo ya awali ya kujitolea ya Jeshi la kujenga Taifa JKT kikosi cha 841 Mafinga, kuwa walinzi namba moja wa amani katika jamii zao, kwa kuwafichua waharifu watakao jaribu kuhatarisha amani na utulivu uliopo nchini kwa sasa .
Rai hiyo imetolewa na Mkuu wa Wilaya ya Mufindi Mh. Jamhuri William, wakati akifunga mafunzo ya awali ya kijeshi kwa vijana waliokuwa wakihudhuria mafunzo ya Jeshi la kujenga Taifa kutoka kikosi cha 841 kilichopo Mjini Mafinga Wilayani Mufindi.
“ kwa siku za hivi karibuni kumekuwa na maadui wa nje na ndani ya nchi wanaojaribu kuvunja Amani na utulivu uliostawi kwa muda mrefu hapa nchini, hivyo, nawaagiza Mkalinde kiapo chenu cha utii nauadilifu kwa Taifa na Mkuu wa nchi kwa kutekeleza sera ya Taifa inayotanabaisha kuwa kila raia wa Tanzania ni Mlinzi wa nchi yake”
Aidha, Mkuu huyo wa Wilaya amewaasa vijana watakao pata fursa ya kuajiriwa kwenye vyombo vya ulinzi na usalama mara baada ya kuhitimu mafunzo, wakafanye kazi kwa nidhamu, uadilifu na uaminifu na kusisitiza kuwa serikali itaendelea kuajiri vijana wa JKT pekee kwenye sekta zote zinazohusika na ulinzi na usalama wa nchi.
Jumla ya vijana (846) wavulana wakiwa (612 ) na wasichana (234) wenye elimu za Msingi mpaka chuo kikuu, wamehitumu mafunzo ya awali ya kijeshi ya miezi (06) na kufuzu kuingia hatua ya pili ya mafunzo ya Malezi na stadi za kazi katika Jeshi la kujenga Taifa JKT.
 |
Mkuu wa wilaya ya Mufindi Jamhuri William, akitunuku zawadi kwa mmoja kati ya wanafunzi waliofanya vizuri wakati wa mafunzo. |


Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mufindi Profesa Riziki Shemdoe, akiwasili kwenye Ofisi za kambi ya 841 Mafinga kushiriki mahafali hayo
Vijana wa JKT wanaohitimu mafunzo ya awali, wakipita mbele ya Mgeni wa heshima kutoa heshima ya kijeshi
Hivyo makala DC MUFINDI: VIJANA MNAOFUZU MAFUNZO YA JKT MUWE WALINZI NAMBA MOJA WA NCHI YENU.
yaani makala yote DC MUFINDI: VIJANA MNAOFUZU MAFUNZO YA JKT MUWE WALINZI NAMBA MOJA WA NCHI YENU. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala DC MUFINDI: VIJANA MNAOFUZU MAFUNZO YA JKT MUWE WALINZI NAMBA MOJA WA NCHI YENU. mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/07/dc-mufindi-vijana-mnaofuzu-mafunzo-ya.html
0 Response to "DC MUFINDI: VIJANA MNAOFUZU MAFUNZO YA JKT MUWE WALINZI NAMBA MOJA WA NCHI YENU."
Post a Comment