title : BREAKING NEWZZZZ: Wahalifu wengine wawili wauawa tena IKWIRIRI, mmoja atambulika.
kiungo : BREAKING NEWZZZZ: Wahalifu wengine wawili wauawa tena IKWIRIRI, mmoja atambulika.
BREAKING NEWZZZZ: Wahalifu wengine wawili wauawa tena IKWIRIRI, mmoja atambulika.
Mwambawahabari
Na
Tamimu Adam - Jeshi la Polisi
Jeshi la Polisi nchini limefanikiwa kuwaua watu
wawili wanaosadikiwa kuwa ni miongoni mwa wahalifu wanaoendesha mauaji
katika Kanda maalumu ya kipolisi Rufiji ambapo mmoja kati ya watu hao ametambulika kwa jina la Abdallah Ally Ngande Makeo ambaye
alikuwa anatafutwa na Jeshi la Polisi kwa muda mrefu kutokana na kushiriki kwake katika matukio ya mauaji maeneo ya Ikwiriri, Kibiti pamoja na
uvamizi wa kituo cha Polisi Ikwiriri.
Akielezea tukio hilo,
Mkuu wa Operesheni Maalum za
Jeshi la Polisi, Naibu Kamishna wa
Polisi Liberatus Sabas alisema kuwa tukio hilo lilitokea mnamo tarehe 19,
julai, 2017 saa mbili usiku katika eneo la
Utende kata ya Ikwiriri, wilaya Rufiji
kanda maalum ya Polisi Rufiji.
“Askari Polisi wa doria
waliwatilia mashaka watu wanaokadiliwa kuwa watano ambapo walipoanza
kuwafutilia ndipo walianza kukimbia huku wakiwashambulia askari kwa risasi. Askari nao kwa ujasiri walijibu
mashambulizi na kufanikiwa kuwajeruhi
wahalifu wawili miongonio mwao ambao baadaye walifariki
wakipelekwa Hospitali ya Taifa ya
muhimbili kutokana na kuvuja damu iliyosababisishwa na majeraha ya risasi
waliyoyapata” alisema Sabas.
Aliongeza kuwa katika eneo
hilo la tukio ilipatikana silaha moja aina ya rifle 375 ambayo ilikutwa imekatwa kitako na mtutu ikiwa na
risasi mbili (2). Aidha, Miili ya
marehemu wote wamehifadhiwa katika chumba cha kuhifadhia maiti hospitali ya
Taifa ya muhimbili.
Kamanda sabas
ameendelea kutoa wito kwa wananchi kuendelea kushirikiana na Jeshi la Polisi
katika kutoa taarifa zitakazosaidia kukamatwa wahalifu wengine waliosalia na
kwamba opereheni hiyo ya kuwasaka
wahalifu katika Kanda hiyo ya kipolisi Rufiji
ni endelevu na hakuna atakayebaki.
Tamimu Adam - Jeshi la Polisi
Jeshi la Polisi nchini limefanikiwa kuwaua watu
wawili wanaosadikiwa kuwa ni miongoni mwa wahalifu wanaoendesha mauaji
katika Kanda maalumu ya kipolisi Rufiji ambapo mmoja kati ya watu hao ametambulika kwa jina la Abdallah Ally Ngande Makeo ambaye
alikuwa anatafutwa na Jeshi la Polisi kwa muda mrefu kutokana na kushiriki kwake katika matukio ya mauaji maeneo ya Ikwiriri, Kibiti pamoja na
uvamizi wa kituo cha Polisi Ikwiriri.
Akielezea tukio hilo,
Mkuu wa Operesheni Maalum za
Jeshi la Polisi, Naibu Kamishna wa
Polisi Liberatus Sabas alisema kuwa tukio hilo lilitokea mnamo tarehe 19,
julai, 2017 saa mbili usiku katika eneo la
Utende kata ya Ikwiriri, wilaya Rufiji
kanda maalum ya Polisi Rufiji.
“Askari Polisi wa doria
waliwatilia mashaka watu wanaokadiliwa kuwa watano ambapo walipoanza
kuwafutilia ndipo walianza kukimbia huku wakiwashambulia askari kwa risasi. Askari nao kwa ujasiri walijibu
mashambulizi na kufanikiwa kuwajeruhi
wahalifu wawili miongonio mwao ambao baadaye walifariki
wakipelekwa Hospitali ya Taifa ya
muhimbili kutokana na kuvuja damu iliyosababisishwa na majeraha ya risasi
waliyoyapata” alisema Sabas.
Aliongeza kuwa katika eneo
hilo la tukio ilipatikana silaha moja aina ya rifle 375 ambayo ilikutwa imekatwa kitako na mtutu ikiwa na
risasi mbili (2). Aidha, Miili ya
marehemu wote wamehifadhiwa katika chumba cha kuhifadhia maiti hospitali ya
Taifa ya muhimbili.
Kamanda sabas
ameendelea kutoa wito kwa wananchi kuendelea kushirikiana na Jeshi la Polisi
katika kutoa taarifa zitakazosaidia kukamatwa wahalifu wengine waliosalia na
kwamba opereheni hiyo ya kuwasaka
wahalifu katika Kanda hiyo ya kipolisi Rufiji
ni endelevu na hakuna atakayebaki.
Hivyo makala BREAKING NEWZZZZ: Wahalifu wengine wawili wauawa tena IKWIRIRI, mmoja atambulika.
yaani makala yote BREAKING NEWZZZZ: Wahalifu wengine wawili wauawa tena IKWIRIRI, mmoja atambulika. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala BREAKING NEWZZZZ: Wahalifu wengine wawili wauawa tena IKWIRIRI, mmoja atambulika. mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/07/breaking-newzzzz-wahalifu-wengine.html
0 Response to "BREAKING NEWZZZZ: Wahalifu wengine wawili wauawa tena IKWIRIRI, mmoja atambulika."
Post a Comment