Serikali, Wadau wa Habari wakubaliana kujenga uhusiano imara kikazi

Serikali, Wadau wa Habari wakubaliana kujenga uhusiano imara kikazi - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Serikali, Wadau wa Habari wakubaliana kujenga uhusiano imara kikazi, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Serikali, Wadau wa Habari wakubaliana kujenga uhusiano imara kikazi
kiungo : Serikali, Wadau wa Habari wakubaliana kujenga uhusiano imara kikazi

soma pia


Serikali, Wadau wa Habari wakubaliana kujenga uhusiano imara kikazi

Wadau wa Habari nchini wakiongozwa na Taasisi ya Vyombo vya Habari Kusini mwa Afrika (MISA) tawi la Tanzania kwa kushirikiana na Wakfu wa Taasisi Huru za Uwazi Afrika (OSIEA) wamefanya semina ya siku moja kwa lengo la kuboresha mahusiano ya utendaji wa kazi iliyoshirikisha Serikali na wadau wa habari nchini.

Semina hiyo pia ilihudhuriwa na maafisa wa Serikali wakiongozwa na Naibu Waiziri wa Habari, Utamaduni, Michezo na Wasanii Bi Annastazia Wambura, Wabunge, wawakilishi wa vyuo vikuu, viongozi wa taasisi za Habari nchini, wahariri na waandishi.

Naibu Waziri, Anastazia Wambura akizungumza kwenye mkutano huo amesema serikali iko bega kwa bega na waandishi wa habari ili kufikia malengo waliyojiwekea katika kuhabarisha umma.
Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Anastazia Wambura akizungumza kwenye mkutano wa wadau mbalimbali wa habari waliokutana kujadili namna ya kufanya kazi kwa pamoja na Serikali ili kuleta ustawi wananchi leo kwenye ukumbi wa Hazina Ndogo mjini Dodoma.
Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Habari (MAELEZO) Usajili wa Magazeti, Bw. Patrick Kipangula akiwasilisha mada kuhusu sheria ya vyombo vya habari aliyoiwasilisha kwenye mkutano wa wadau wa vyombo vya habari waliokutana na Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Anastazia Wambura.
Mhariri Mtendaji wa The Guardian Ltd, Jesse Kwayu akiwasilisha mada kuhusu namna ya kufanya mahusiano ya kikazi kati ya serikali na wanahabari kwa baadhi ya wabunge, wahariri, Maafisa habari na waandishi wa habari katika mkutano uliofanyika ukumbi wa Hazina Ndogo mjini Dodoma.
Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo, Zamaradi Kawawa(kushoto) akitolea ufafanuzi baadhi ya mambo  yanayohusu Idara ya Habari Maelezo yaliyoulizwa na wadau wa habari kwenye mkutano uliowakutanisha wadau mbalimbali wa habari waliokutana leo kwenye ukumbi wa Hazina Ndogo mjini Dodoma. Katikati ni Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Anastazia Wambura.

HABARI ZAIDI BOFYA HAPA


Hivyo makala Serikali, Wadau wa Habari wakubaliana kujenga uhusiano imara kikazi

yaani makala yote Serikali, Wadau wa Habari wakubaliana kujenga uhusiano imara kikazi Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Serikali, Wadau wa Habari wakubaliana kujenga uhusiano imara kikazi mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/06/serikali-wadau-wa-habari-wakubaliana.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Serikali, Wadau wa Habari wakubaliana kujenga uhusiano imara kikazi"

Post a Comment