NMB Bank yawezesha kufanyika kwa Kids Circus Carnival

NMB Bank yawezesha kufanyika kwa Kids Circus Carnival - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa NMB Bank yawezesha kufanyika kwa Kids Circus Carnival, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : NMB Bank yawezesha kufanyika kwa Kids Circus Carnival
kiungo : NMB Bank yawezesha kufanyika kwa Kids Circus Carnival

soma pia


NMB Bank yawezesha kufanyika kwa Kids Circus Carnival


 Mwambawahabari
 
Benki ya NMB Tanzania imeungana na Watanzania nchini kusherehekea sikuu ya Eid kwa kudhamini tamasha ambalo limehusisha watu wa aina mbalimbali kuanzia watoto n ahata watu wazima la Kids Circus Carnival.


Tamasha hilo ambalo linafanyika kwa siku mbili yaani Eid Mosi (Juni, 26) na Eid Pili (Juni, 27) linafanyika katika viwanja vya Kenyatta (Kenyatta Ground) vilivyopo Osterbay, Dar es Salaam.

Katika tamasha hilo kulikuwa na huduma mbalimbali ambazo zinazotolewa na benki ya NMB ambapo watu waliohudhuria tamasha hilo walipata nafasi ya kujua huduma zinazotolewa na NMB lakini pia kupata nafasi ya kufungua akaunti.

Pamoja na hilo pia kulikuwa na michezo mbalimbali ya watoto na wanyama mbalimbali wakiwepo simba, chui, mamba, farasi, sungura na wengine mbalimbali.



Hivyo makala NMB Bank yawezesha kufanyika kwa Kids Circus Carnival

yaani makala yote NMB Bank yawezesha kufanyika kwa Kids Circus Carnival Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala NMB Bank yawezesha kufanyika kwa Kids Circus Carnival mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/06/nmb-bank-yawezesha-kufanyika-kwa-kids.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "NMB Bank yawezesha kufanyika kwa Kids Circus Carnival"

Post a Comment