MKUU WA WILAYA YA ILALA, SOPHIA MJEMA AMEPOKEA MSAADA WA VYAKULA KWA AJILI YA WATU WASIOJIWEZA NA MAYATIMA

MKUU WA WILAYA YA ILALA, SOPHIA MJEMA AMEPOKEA MSAADA WA VYAKULA KWA AJILI YA WATU WASIOJIWEZA NA MAYATIMA - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa MKUU WA WILAYA YA ILALA, SOPHIA MJEMA AMEPOKEA MSAADA WA VYAKULA KWA AJILI YA WATU WASIOJIWEZA NA MAYATIMA, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : MKUU WA WILAYA YA ILALA, SOPHIA MJEMA AMEPOKEA MSAADA WA VYAKULA KWA AJILI YA WATU WASIOJIWEZA NA MAYATIMA
kiungo : MKUU WA WILAYA YA ILALA, SOPHIA MJEMA AMEPOKEA MSAADA WA VYAKULA KWA AJILI YA WATU WASIOJIWEZA NA MAYATIMA

soma pia


MKUU WA WILAYA YA ILALA, SOPHIA MJEMA AMEPOKEA MSAADA WA VYAKULA KWA AJILI YA WATU WASIOJIWEZA NA MAYATIMA

Ubalozi wa Kuwait nchini kwa kushirikiana na Taasisi  ya Human Relief wamekabidhi msaada wa vyakula mbalimbali kwa Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Sophia Mjema kwa ajili ya watu wasiojiweza na mayatima ili kupata futari katika mwezi huu Mtukufu wa Ramadhani.

Akizungumza baada ya kupokea msaada huo mapema leo, Mjema amesema, chakula hicho kitapelekwa katika vituo vya watoto yatima na wasiojiweza ili waweze kuufurahia mwezi wa Ramadhani.

"Chakula hiki tunaenda kuwapa wananchi ambao hawana uwezo na familia ambazo kwa kweli tunaona hwana uwezo," alisema Mh. Mjema.

Kwa upande wake, Mkurugenzi wa kampuni ya Bigbon, Mohammed Bahashwan amesema, taasisi hiyo imekuwa ikitoa misaada mbalimbali na hasa kwa mayatima bila kujadili dini zao,amesema na kuongeza kuwa kuwa mbali na kutoa misaada hiyo lakini pia taasisi hiyo imekuwa ikijenga visima na misikiti katika maeneo mbalimbali nchini.

Kwa upande wake, balozi wa Kuwait nchini, Mhe Jaseem Al Najem amesema kuwa, nchi hiyo itaendelea kushirikiana na serikali katika mambo mbalimbali ya kusaidia jamii.

Amesema msaada huo wameanza na wilaya ya Ilala lakini watakuwa wakitoa misaada na maeneo mengine kulinga na uhitaji wa mambo mbalimbali katika jamii nzima kwa kushirikiana na serikali.

Mkuu wa Wilaya ya Ilala ,Sophia Mjema (kulia) akipokea Msaada wa vyakula mbalimbali kutoka kwa Balozi wa Kuwait nchini Mhe. Jaseem Al Najem.Pichani kushoto ni Katibu Tawala wilaya ya Ilala,Edward Mpogolo.

Mkuu wa Wilaya ya Ilala ,Sophia Mjema Akizungumza wa Globu ya jamii baada ya kupokea msaada huo.
Mkuu wa Wilaya ya Ilala ,Sophia Mjema na Balozi wa Kuwait nchini Mhe. Jaseem Al Najem wakiwa katika picha ya pamoja. leo Jijini Dar es Salaam.Picha na Emmanuel Massaka,Globu ya jamii.
Balozi wa Kuwait nchini Tanzania Mhe. Jaseem Al Najem akiwasili katika ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Ilala ,Sophia Mjema.



Hivyo makala MKUU WA WILAYA YA ILALA, SOPHIA MJEMA AMEPOKEA MSAADA WA VYAKULA KWA AJILI YA WATU WASIOJIWEZA NA MAYATIMA

yaani makala yote MKUU WA WILAYA YA ILALA, SOPHIA MJEMA AMEPOKEA MSAADA WA VYAKULA KWA AJILI YA WATU WASIOJIWEZA NA MAYATIMA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala MKUU WA WILAYA YA ILALA, SOPHIA MJEMA AMEPOKEA MSAADA WA VYAKULA KWA AJILI YA WATU WASIOJIWEZA NA MAYATIMA mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/06/mkuu-wa-wilaya-ya-ilala-sophia-mjema.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "MKUU WA WILAYA YA ILALA, SOPHIA MJEMA AMEPOKEA MSAADA WA VYAKULA KWA AJILI YA WATU WASIOJIWEZA NA MAYATIMA"

Post a Comment