MARUFUKU KUFANYA SHUGHULI ZA KIBANADAMU NDANI YA MITA 60 YA VYANZO VYA MAJI-DC HANDENI

MARUFUKU KUFANYA SHUGHULI ZA KIBANADAMU NDANI YA MITA 60 YA VYANZO VYA MAJI-DC HANDENI - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa MARUFUKU KUFANYA SHUGHULI ZA KIBANADAMU NDANI YA MITA 60 YA VYANZO VYA MAJI-DC HANDENI, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : MARUFUKU KUFANYA SHUGHULI ZA KIBANADAMU NDANI YA MITA 60 YA VYANZO VYA MAJI-DC HANDENI
kiungo : MARUFUKU KUFANYA SHUGHULI ZA KIBANADAMU NDANI YA MITA 60 YA VYANZO VYA MAJI-DC HANDENI

soma pia


MARUFUKU KUFANYA SHUGHULI ZA KIBANADAMU NDANI YA MITA 60 YA VYANZO VYA MAJI-DC HANDENI

Wananchi wilayani Handeni wapigwa marufuku kufanya shughuli za kibinadamu ndani ya mita 60 kutoka katika vyanzo vya maji na kutakiwa kutunza mazingira ili kuwezesha uendelevu wa maisha.

Marufuku hiyo ilitolewa na Mkuu wa Wilaya ya Handeni, Godwin Gondwe aliyekuwa mgeni rasmi katika kilele cha maadhimisho ya siku ya mazingira duniani yaliyofanyika ngazi ya wilaya katika Kata ya Mkata katika bwawa la Tulafimbo. 

Gondwe alisema kuwa wananchi lazima wazingatie sheria ya Mazingira inayozuia kufanya shughuli za kibinadamu pamoja na kujenga kwenye maeneo yote ya vyanzo vya maji ndani ya mita 60. “Kwa kuzingatia sheria hiyo, kupiga marufuku kwa wananchi kufanya shughuli zozote za kibinadamu zenye kuhatarisha usalama wa maji na uchafuzi wa mazingira kwenye maeneo yanayozunguka vyanzo vya maji wilayani Handeni” alisema Gondwe. 

Aidha, aliwataka maafisa Tarafa, maafisa watendaji wa Kata na wenyeviti wa Vijiji kuhakikisha wanatengeneza mipaka kwenye maeneo ya vyanzo vya maji vyote vilivyopo Wilayani Handeni msimu huu ambao mvua imenyesha ya kutosha na vyanzo vingi vimejaa maji. “Hii itasaidia kuzuia uvamizi wa maeneo hayo na kurahisisha kuchukua hatua kwa watu watakaokwenda kinyume na amri hiyo” alisema Gondwe.

Gondwe, aliwataka wananchi wote walionunua mashamba kwa lengo la kilimo kusafisha mashamba yao kwa kuacha asilimia 30 ya uoto wa asili badala ya kusafisha maeneo yote ambayo wamenunua. “Tusipotunza mazingira, itakuwa ni ubinafsi kwa kizazi chetu na kizazi kijacho. Tukitendee haki kizazi hiki na kijacho kwa kuondoa ubinafsi wa kuharibu mazingira” alisema Gondwe.

Wakati huohuo, aliwataka viongozi ngazi ya Wilaya, Tarafa, Kata na Vijiji kutunza kutunza mazingira kwa kusimamia uwiano wa ardhi uliyopo na idadi ya mifugo ili kutunza mazingira kwa kuwa na mifugo inayoendana na rasilimali ardhi iliyopo. Aliwataka kuweka mikakati ya kupiga chapa mifugo ili kurahisisha utambuzi wa mifugo hiyo wilayani Handeni.
 Mkuu wa Wilaya ya Handeni Mh Godwin Gondwe akipanda mti kwenye maadhimisho.
 Mkurugenzi Mtendaji Bw William Makufwe iyeshika chepeo na mwenyekiti wa Halmashauri ya Handeni Mh Ramadhani Diliwa wakipanda mti.
 Mkuu wa Wilaya ya Handeni Mh Godwin Gondwe akizungumza na wananchi.
 Mkurugenzi Mtendaji Bw William Makufwe akizungumza na wananchi wakati wa maadhimisho.

HABARI ZAIDI BOFYA HAPA


Hivyo makala MARUFUKU KUFANYA SHUGHULI ZA KIBANADAMU NDANI YA MITA 60 YA VYANZO VYA MAJI-DC HANDENI

yaani makala yote MARUFUKU KUFANYA SHUGHULI ZA KIBANADAMU NDANI YA MITA 60 YA VYANZO VYA MAJI-DC HANDENI Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala MARUFUKU KUFANYA SHUGHULI ZA KIBANADAMU NDANI YA MITA 60 YA VYANZO VYA MAJI-DC HANDENI mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/06/marufuku-kufanya-shughuli-za-kibanadamu.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "MARUFUKU KUFANYA SHUGHULI ZA KIBANADAMU NDANI YA MITA 60 YA VYANZO VYA MAJI-DC HANDENI"

Post a Comment