MAALIM SEIF AJUMUIKA KATIKA FUTARI NA WAKAZI WA MAGOMENI MZIMUNI, DAR ES SALAAM

MAALIM SEIF AJUMUIKA KATIKA FUTARI NA WAKAZI WA MAGOMENI MZIMUNI, DAR ES SALAAM - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa MAALIM SEIF AJUMUIKA KATIKA FUTARI NA WAKAZI WA MAGOMENI MZIMUNI, DAR ES SALAAM, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : MAALIM SEIF AJUMUIKA KATIKA FUTARI NA WAKAZI WA MAGOMENI MZIMUNI, DAR ES SALAAM
kiungo : MAALIM SEIF AJUMUIKA KATIKA FUTARI NA WAKAZI WA MAGOMENI MZIMUNI, DAR ES SALAAM

soma pia


MAALIM SEIF AJUMUIKA KATIKA FUTARI NA WAKAZI WA MAGOMENI MZIMUNI, DAR ES SALAAM

 Katibu Mkuu wa Chama Cha Wananchi Cuf , Maalim Seif Shariff Hamad  akizungumza na wakazi wa Kata ya Mgomeni Mzimuni jijini Dar es salam ambao alijumuika nao katika futari ya pamoja iliyoandaliwa katika ofisi za umoja wa wabunge wa CUF iliyopo katika kata hiyo.
  Katibu Mkuu wa Chama Cha Wananchi Cuf , Maalim Seif Sharif Hamad  akiomba dua pmoja na viongozi wengine waandamizi wa Chama Cha Wananchi CUF ambao walikusanyika kwa ajili ya futari katika kata ya Magomeni Mzimuni.
  Katibu Mkuu wa Chama Cha Wananchi Cuf , Maalim Seif Sharif Hamad  akiwa ameketi katika kiti pamoja na Wanachama wengine wa CUF katika ofIsi za umoja wa wabunge wa Chama cha Wanachi CUF
 Baadhi ya wabunge wa Chama cha Wananchi CUF wakiwa wameketi wakifuturu futari iliyoandaliwa na kata ya Magomeni Mzimuni
  Katibu Mkuu wa Chama Cha Wananchi Cuf , Maalim Seif Sharif Hamad  akiteta na Mwenyekiti wa Matawi ya CUF Rashid Abdullah mara baada ya kupata futari ya pamoja na wakazi wa Magomeni Mzimuni. Kwa picha zaidi BOFYA HAPA


Hivyo makala MAALIM SEIF AJUMUIKA KATIKA FUTARI NA WAKAZI WA MAGOMENI MZIMUNI, DAR ES SALAAM

yaani makala yote MAALIM SEIF AJUMUIKA KATIKA FUTARI NA WAKAZI WA MAGOMENI MZIMUNI, DAR ES SALAAM Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala MAALIM SEIF AJUMUIKA KATIKA FUTARI NA WAKAZI WA MAGOMENI MZIMUNI, DAR ES SALAAM mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/06/maalim-seif-ajumuika-katika-futari-na.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "MAALIM SEIF AJUMUIKA KATIKA FUTARI NA WAKAZI WA MAGOMENI MZIMUNI, DAR ES SALAAM"

Post a Comment