2 of 9 Print all In new window MOTO WAATHIRI MIUNDOMBINU YA UMEME MKOANI RUKWA

2 of 9 Print all In new window MOTO WAATHIRI MIUNDOMBINU YA UMEME MKOANI RUKWA - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa 2 of 9 Print all In new window MOTO WAATHIRI MIUNDOMBINU YA UMEME MKOANI RUKWA, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : 2 of 9 Print all In new window MOTO WAATHIRI MIUNDOMBINU YA UMEME MKOANI RUKWA
kiungo : 2 of 9 Print all In new window MOTO WAATHIRI MIUNDOMBINU YA UMEME MKOANI RUKWA

soma pia


2 of 9 Print all In new window MOTO WAATHIRI MIUNDOMBINU YA UMEME MKOANI RUKWA

NA MWANDISHI WA K-VIS BLOG
WATU wasiojulikana wamechoma msitu wa Kirando wilaya ya Nkasi mkoani Rukwa ambao umeunguza miundombinu ya umeme ya Shirika la umeme Nchini TANESCO.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa jioni hii Juni 24, 2017 na Kaimu Meneja Uhusinao wa TANESCO makao Makuu, Bi. Leila Muhaji, imesema, uharibifu huo mkubwa wa miundombinu umeathiri upatikanaji wa umeme kwa wateja wa maeneo ya Kirando na Kipili wanaopata huduma ya umeme ya njia ya msongo mkubwa wa umeme unaopita kwenye maeneo hayo.
“Mafundi wa TANESCO waliofika kwenye eneo hilo, wameshuhudia uharibifu mkubwa ambapo miundombinu ya umeme imeungua na kusababisha hasara kubwa.” Alisema Bi Leila katika taarifa yake kwa vyombo vya habari.
Bi Leila amesema TANESCO inawaomba wananchi wote waishio kwenye maeneo hayo kutoa taarifa kwenye ofisi za TANESCO au kituo cha polisi kilicho karibu ili kuokoa miundombinu ya umeme kwa manufaa ya taifa.
Amesema, tayari vyombo vya ulinzi na usalama kwa kushirikiana na TANESCO wameanza msako ili kuwabaini wahusika ili sheria ichukue mondo wake.

Uharibifu mkubwa ambapo miundombinu ya umeme imeungua na kusababisha hasara kubwa na kuathiri upatikanaji wa umeme kwa wateja wa maeneo ya Kirando na Kipili wilayani Nkasi, mkoa wa Rukwa
 Afisa wa polisi akiwa eneo la tukio huku akishuhudia jinsi moto huo ulivyoathiri nguzo za umeme
Uharibifu mkubwa ambapo miundombinu ya umeme imeungua na kusababisha hasara kubwa wilayani Nkasi, mkoa wa Rukwa


Hivyo makala 2 of 9 Print all In new window MOTO WAATHIRI MIUNDOMBINU YA UMEME MKOANI RUKWA

yaani makala yote 2 of 9 Print all In new window MOTO WAATHIRI MIUNDOMBINU YA UMEME MKOANI RUKWA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala 2 of 9 Print all In new window MOTO WAATHIRI MIUNDOMBINU YA UMEME MKOANI RUKWA mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/06/2-of-9-print-all-in-new-window-moto.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "2 of 9 Print all In new window MOTO WAATHIRI MIUNDOMBINU YA UMEME MKOANI RUKWA"

Post a Comment