WIZARA YA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI YATOA UJUMBE WA TAHADHARI KATIKA ULIPAJI KODI YA PANGO LA ARDHI – MEIMOSI

WIZARA YA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI YATOA UJUMBE WA TAHADHARI KATIKA ULIPAJI KODI YA PANGO LA ARDHI – MEIMOSI - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa WIZARA YA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI YATOA UJUMBE WA TAHADHARI KATIKA ULIPAJI KODI YA PANGO LA ARDHI – MEIMOSI, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : WIZARA YA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI YATOA UJUMBE WA TAHADHARI KATIKA ULIPAJI KODI YA PANGO LA ARDHI – MEIMOSI
kiungo : WIZARA YA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI YATOA UJUMBE WA TAHADHARI KATIKA ULIPAJI KODI YA PANGO LA ARDHI – MEIMOSI

soma pia


WIZARA YA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI YATOA UJUMBE WA TAHADHARI KATIKA ULIPAJI KODI YA PANGO LA ARDHI – MEIMOSI

Mwambawahabari
AD1Watumishi wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Kanda ya Kaskazini wakionyesha kwa Wananchi ujumbe wa bango lao katika maadhimisho ya sherehe za Meimosi – Moshi.
AD2Watumishi wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Ofisi ya Dar es Salaam wakionyesha kwa Wananchi ujumbe wa bango lao katika maadhimisho ya sherehe za Meimosi – viwanja vya uhuru – Dar es Salaam.

AD3
  1. Watumishi wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Ofisi ya Dar es Salaam wakijipanga kuanza maandamano rasmi katika maadhimisho ya sherehe za Meimosi – viwanja vya uhuru – Dar es Salaam.
AD4 AD5Watumishi wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Ofisi ya Dar es Salaam wakifurahi wakati wa maadhimisho ya sherehe za Meimosi yakiendelea – viwanja vya uhuru – Dar es Salaam
…………………………………………………
Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi imeendelea kutahadharisha umma kuhusu umuhimu wa ulipaji wa Kodi ya Pango la Ardhi kwa wakati, katika maadhimisho ya sherehe za Meimosi mkoani Moshi, ambapo sherehe hizo zimeazimishwa rasmi kitaifa.  Na Dar es Salaam katika viwanja vya Uhuru.
Kutokana na Wizara kuendelea kuwahimiza Wamiliki wa Ardhi kulipa kodi ya pango la Ardhi, Watumishi hao wameona ni wakati muafaka kuendelea kutangaza ujumbe huo kwa mabango katika kuadhimisha sherehe za Meimosi. 
Aidha, Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi; Mhe. Mhe. William Lukuvi amesema; ambaye hajalipa Kodi ya Pango la Ardhi, alipe kabla ya mwisho wa mwezi wa sita (6), kwakuwa ifikapo tarehe 30/06 hatua zifuatazo zitachukuliwa dhidi yao; Watashitakiwa Mahakamani, Mali zao zitakamatwa na majengo yatapigwa mnada kupitia madalali na Miliki zao zitafutwa kwa mujibu wa Sheria.


Hivyo makala WIZARA YA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI YATOA UJUMBE WA TAHADHARI KATIKA ULIPAJI KODI YA PANGO LA ARDHI – MEIMOSI

yaani makala yote WIZARA YA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI YATOA UJUMBE WA TAHADHARI KATIKA ULIPAJI KODI YA PANGO LA ARDHI – MEIMOSI Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala WIZARA YA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI YATOA UJUMBE WA TAHADHARI KATIKA ULIPAJI KODI YA PANGO LA ARDHI – MEIMOSI mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/05/wizara-ya-ardhi-nyumba-na-maendeleo-ya.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "WIZARA YA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI YATOA UJUMBE WA TAHADHARI KATIKA ULIPAJI KODI YA PANGO LA ARDHI – MEIMOSI"

Post a Comment