WASANII NYOTA SABA KUTOKA CHINA NA WAPIGA PICHA 100 WATAMBELEA TRENI YA TAZARA LEO - Hallo rafiki
WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa WASANII NYOTA SABA KUTOKA CHINA NA WAPIGA PICHA 100 WATAMBELEA TRENI YA TAZARA LEO, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts
makala afya,
makala biashara,
makala general,
makala hobby,
makala karibuni info,
makala michezo,
makala siasa,
makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.
title :
WASANII NYOTA SABA KUTOKA CHINA NA WAPIGA PICHA 100 WATAMBELEA TRENI YA TAZARA LEOkiungo :
WASANII NYOTA SABA KUTOKA CHINA NA WAPIGA PICHA 100 WATAMBELEA TRENI YA TAZARA LEO
WASANII NYOTA SABA KUTOKA CHINA NA WAPIGA PICHA 100 WATAMBELEA TRENI YA TAZARA LEO
--
Mwenyekiti wa Bodi ya Utalii nchini Jaji Thomas Mihayo akizungumza katika mkutano mfupi uliofanyika katika Stesheni ya Tazara jijini Dar es Salaam,kuhusu ujio wa Wasanii nyota saba kutoka nchini China na wapiga picha 100,ambao pia walitembelea Treni ya TAZARA na kujionea mambo mbalimbali yaliyokuwa yakinyika hapo.
Baadhi ya Wasanii hao Nyota wakiwasili katika Stesheni ya TAZARA Jijini Dar es Salaam
aziri wa Habari Utalii Utamaduni na Michezo Zanzibar Mhe Rashid Ali Juma akizungumza wakati wa kuwakaribisha wasanii hao nyota kutoka nchini China
Muongoazaji wa filamu ya siri za familia akitoa Salamu za Wasanii hapa nchini
Wasanii hao Nyota wakiwa wameketi kwa pamoja wakati wa mkutano
Wasanii hao ikawakiwa katika kurekodi sehemu ya vipindi vitakavyorushwa katika cheneli za nchini China
Hivyo makala WASANII NYOTA SABA KUTOKA CHINA NA WAPIGA PICHA 100 WATAMBELEA TRENI YA TAZARA LEO
yaani makala yote WASANII NYOTA SABA KUTOKA CHINA NA WAPIGA PICHA 100 WATAMBELEA TRENI YA TAZARA LEO Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala WASANII NYOTA SABA KUTOKA CHINA NA WAPIGA PICHA 100 WATAMBELEA TRENI YA TAZARA LEO mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/05/wasanii-nyota-saba-kutoka-china-na.html
Related Posts :
PICHA MBALI MBALI ZA SPIKA NDUGAI KATIKA MAONYESHO YALIYOANDALIWA NA TAASISI ZA KIJAMII ZINAZOTOA HUDUMA ZA MWITIKIO WA UKIMWI BUNGENI JIJINI DODOMA.
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (wa pili kulia) akiongozana na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na We… Read More...
MKAPA AVUNJA UKIMYA WANAOSUBIRI KUMWAGIWA FEDHA KWA AJILI YA MAENDELEO
*Asema heshima ya nchi ni kujitegemea
Na Said Mwishehe,Globu ya jamii
RAIS Mstaafu wa Serikali ya Awamu ya Tatu Benjamin Mkapa amesema … Read More...
RAIS DKT MAGUFULI AZINDUA UPANUZI WA HUDUMA ZA MAWASILIANO ZA TTCL NCHI NZIMA, APOKEA GAWIO LAO LA BILIONI 1.5
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli na meza kuu wakitumia mawasiliano ya Video Conference wakati ba… Read More...
SERA YA TAIFA YA MASHIRIKA YASIYO YA KISERIKALI KUFANYIWA MAPITIO
Mkurugenzi wa Idara ya Mashirika Yasiyo ya Kiserikali na Msajili wa Mashirika hayo Bw. Marcel Katemba akizungumza na wadau wanaofanya… Read More...
'KUNA ONGEZEKO KUBWA LA MAGONJWA YASIYOAMBUKIZA'
Na Humphrey Shao, Globu ya Jamii
SERIKALI imesema kumekuwa na ongezeko kubwa la magonjwa yasiyoambukiza kwa kipindi cha miaka ya hivi kari… Read More...
0 Response to "WASANII NYOTA SABA KUTOKA CHINA NA WAPIGA PICHA 100 WATAMBELEA TRENI YA TAZARA LEO"
Post a Comment