Jjumbe wa Wadi ya Makunduchi Waendelea na Ziara Yao Nchini Sweden. - Hallo rafiki
WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Jjumbe wa Wadi ya Makunduchi Waendelea na Ziara Yao Nchini Sweden., tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts
makala afya,
makala biashara,
makala general,
makala hobby,
makala karibuni info,
makala michezo,
makala siasa,
makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.
title :
Jjumbe wa Wadi ya Makunduchi Waendelea na Ziara Yao Nchini Sweden.kiungo :
Jjumbe wa Wadi ya Makunduchi Waendelea na Ziara Yao Nchini Sweden.
Jjumbe wa Wadi ya Makunduchi Waendelea na Ziara Yao Nchini Sweden.
Mjumbe wa Wadi ya Makunduchi ndugu Mohamed Muombwa (hayupo kwenye picha) alihudhulia mafunzo ya wafuga nyuki wa Manispaliti ya Sundsvall. Somo lililotolewa ni umuhimu wa kupanda maua wanayopenda nyuki Karibu na mizinga ya nyuki.
Diwani wa Wadi ya Makunduchi bi Zawadi alimkabidhi pia bwana Pinheiro mwenyekiti wa Kamari ya Elimu ya Baraza la Manispaliti zawadi ya pilipili manga kwa ajili ya kutangaza viungo vya Zanzibar nchini Sweden
Sheha mstaafu wa shehia ya Mzuri Kaja mwalimu Mwita Masemo akibadilishana mawazo na mwalimu wa uchoraji ndani ya jengo la Manispaliti ya Sundsvall ambamo ndani yake mlikuwa na maonyesho ya kazi za Sanaa.
Hivyo makala Jjumbe wa Wadi ya Makunduchi Waendelea na Ziara Yao Nchini Sweden.
yaani makala yote Jjumbe wa Wadi ya Makunduchi Waendelea na Ziara Yao Nchini Sweden. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala Jjumbe wa Wadi ya Makunduchi Waendelea na Ziara Yao Nchini Sweden. mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/05/jjumbe-wa-wadi-ya-makunduchi-waendelea.html
Related Posts :
MAKAMU WA RAIS MH.SAMIA SULUHU MGENI RASMI NANENANE
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muuungano wa Tanzania, Mhe Samia, Suluhu Hassan leo anatarajiwa kuwaongoza Watanzania katika maadhimisho ya s… Read More...
Matukio : COSTECH Yawanoa Maofisa Ugani, Lindi
Mwezeshaji kutoka Jukwaa la Bioteknolojia Tanzania (OFAB), Dk.Emmarold Mneney (kulia), akitoa mafunzo ya siku moja ya kilimo chenye tij… Read More...
Mwalimu Commercial Bank (MCB) Yatoa Zawadi Kwa Washindi wa Droo ya Pili ya “WEKA AKIBA NA USHINDE”
Meneja wa Mwalimu Commercial Bank, Plc, (MCB), tawi la Samora katikati ya jiji la Dar es Salaam, Bi. Leticia Ndongole, (wapili kushoto), a… Read More...
Matukio : Gambo Akutana na kaimu Balozi wa Marekani
Mkuu wa mkoa wa Arusha Mhe. Mrisho Gambo amekutana na Kaimu Balozi wa Marekani Bi. Inmi Patterson ofisini kwake Jijini Arusha.
Katika ma… Read More...
Oktoba 1 Kuaza Msimu Mpya wa Ligi Kuu ya Zanzibar Jumla ya Timu 28 Zitashiriki Huku Timu 12 Kushuka Daraja.
Na: Abubakar Khatib Kisandu, Zanzibar.
Msimu mpya wa ligi kuu soka ya Zanzibar wa mwaka 2017-2018 unatarajiwa kuanza Oktoba 1, 2017 ambapo … Read More...
0 Response to "Jjumbe wa Wadi ya Makunduchi Waendelea na Ziara Yao Nchini Sweden."
Post a Comment