JIWE LA MSINGI LA UENDELEZAJI WA BARABARA YA KUUNGANISHA DARAJA LA NYERERE LAWEKWA WAKATI WA MBIO ZA MWENGE

JIWE LA MSINGI LA UENDELEZAJI WA BARABARA YA KUUNGANISHA DARAJA LA NYERERE LAWEKWA WAKATI WA MBIO ZA MWENGE - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa JIWE LA MSINGI LA UENDELEZAJI WA BARABARA YA KUUNGANISHA DARAJA LA NYERERE LAWEKWA WAKATI WA MBIO ZA MWENGE, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : JIWE LA MSINGI LA UENDELEZAJI WA BARABARA YA KUUNGANISHA DARAJA LA NYERERE LAWEKWA WAKATI WA MBIO ZA MWENGE
kiungo : JIWE LA MSINGI LA UENDELEZAJI WA BARABARA YA KUUNGANISHA DARAJA LA NYERERE LAWEKWA WAKATI WA MBIO ZA MWENGE

soma pia


JIWE LA MSINGI LA UENDELEZAJI WA BARABARA YA KUUNGANISHA DARAJA LA NYERERE LAWEKWA WAKATI WA MBIO ZA MWENGE

 Jiwe la Msingi la mradi wa ujenzi wa Barabara ya Kiungo kati ya Daraja la Nyerere na Barabara ya Kigamboni-Kibada  lililowekwa na Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa, Amour Hamad Amour. (Picha na Francis Dande)
Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni akipokea Mwenge wa Uhuru kutoka kwa Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni. 
  Mkurugenzi Mkuu wa NSSF, Prof. Godius Kahyarara, akitoa taarifa ya mradi wa ujenzi wa Barabara ya Kiungo kati ya Daraja la Nyerere na Barabara ya Kigamboni-Kibada yenye urefu wa kilometa 1.2 wakati kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa, Amour Hamad Amour alipoweka jiwe la Msingi.
 Kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa, Amour Hamad Amour, akizindua wa jiwe la Msingi la Ujenzi wa mradi wa Barabara ya Kiungo kati ya Daraja la Nyerere na Barabara ya Kigamboni-Kibada.
Kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa, Amour Hamad Amour (wa pili kulia) akiwa ameongozana na Meneja Mradi wa Daraja la Kigamboni, Mhandisi Jamal Mruma (kulia), wakati wa uzindua wa Mradi wa Ujenzi wa Barabara ya Kiungo kati ya Daraja la Nyerere na Barabara ya Kigamboni-Kibada. Habari kamili BOFYA HAPA





Hivyo makala JIWE LA MSINGI LA UENDELEZAJI WA BARABARA YA KUUNGANISHA DARAJA LA NYERERE LAWEKWA WAKATI WA MBIO ZA MWENGE

yaani makala yote JIWE LA MSINGI LA UENDELEZAJI WA BARABARA YA KUUNGANISHA DARAJA LA NYERERE LAWEKWA WAKATI WA MBIO ZA MWENGE Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala JIWE LA MSINGI LA UENDELEZAJI WA BARABARA YA KUUNGANISHA DARAJA LA NYERERE LAWEKWA WAKATI WA MBIO ZA MWENGE mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/05/jiwe-la-msingi-la-uendelezaji-wa.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "JIWE LA MSINGI LA UENDELEZAJI WA BARABARA YA KUUNGANISHA DARAJA LA NYERERE LAWEKWA WAKATI WA MBIO ZA MWENGE"

Post a Comment