BENKI ZINAZOTOA MIKOPO YA KILIMO TANZANIA BARA NA ZANZIBAR ZATAKIWA KUFUATA VIGEZO VYA UKOPESHAJI

BENKI ZINAZOTOA MIKOPO YA KILIMO TANZANIA BARA NA ZANZIBAR ZATAKIWA KUFUATA VIGEZO VYA UKOPESHAJI - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa BENKI ZINAZOTOA MIKOPO YA KILIMO TANZANIA BARA NA ZANZIBAR ZATAKIWA KUFUATA VIGEZO VYA UKOPESHAJI, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : BENKI ZINAZOTOA MIKOPO YA KILIMO TANZANIA BARA NA ZANZIBAR ZATAKIWA KUFUATA VIGEZO VYA UKOPESHAJI
kiungo : BENKI ZINAZOTOA MIKOPO YA KILIMO TANZANIA BARA NA ZANZIBAR ZATAKIWA KUFUATA VIGEZO VYA UKOPESHAJI

soma pia


BENKI ZINAZOTOA MIKOPO YA KILIMO TANZANIA BARA NA ZANZIBAR ZATAKIWA KUFUATA VIGEZO VYA UKOPESHAJI

Na. WFM
Serikali imezitaka Benki zote zinazotoa mikopo ya kilimo 
Tanzania Bara na Zanzibar kuhakikisha zinatoa mikopo kwa 
kuzingatia vigezo vya ukopeshaji vikiwemo kuangalia 
historia ya mkopaji ili kuondoa mikopo Chechefu (NPL).

Hayo yameelezwa Bungeni jijini Dodoma na Naibu Waziri 
wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji, alipokuwa 
akijibu swali la nyongeza la Mbunge wa Bububu Mhe. 
Mwantakaje Haji Juma, aliyetaka kujua utaratibu 
unaotumika kutoa mikopo kwa wakulima wa Zanzibar 
kupitia Benki ya Maendeleo ya Kilimo (TADB).

Dkt. Kijaji alieleza kuwa kabla ya kutoa mkopo ni lazima 
Benki ijiridhishe na aina ya mradi wa mkopaji ikiwa utaleta 
faida itakayomuwezesha mkopaji kurejesha mkopo huo kwa 
wakati ili kuzuia ukuaji wa Mikopo Chechefu.

Akijibu swali la msingi la Mbunge huyo aliyetaka kujua ni 
wananchi wangapi wanaonufaika na mikopo ya Kilimo kwa 
upande wa Zanzibar, Dkt. Kijaji alisema kuwa jumla ya 
wananchi 3,000 wamenufaika na mikopo ya Benki ya TADB 
hadi kufikia Julai 31, 2018.

“Kati ya wanufaika hao 3000, idadi ya wanaume 
walionufaika ni 1800, wanawake 900 na vijana wa kike na 
kiume ni 300”, alieleza Dkt. Kijaji.

Alisema kuwa jumla ya mikopo ya shillingi bilioni 6.50, 
imetolewa kwa wananchi hao wa Zanzibar hadi kufikia Julai 
31, 2018.

Imetolewa na;
Kitengo cha Mawasiliano Serikalini

Wizara ya Fedha na Mipango.



Hivyo makala BENKI ZINAZOTOA MIKOPO YA KILIMO TANZANIA BARA NA ZANZIBAR ZATAKIWA KUFUATA VIGEZO VYA UKOPESHAJI

yaani makala yote BENKI ZINAZOTOA MIKOPO YA KILIMO TANZANIA BARA NA ZANZIBAR ZATAKIWA KUFUATA VIGEZO VYA UKOPESHAJI Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala BENKI ZINAZOTOA MIKOPO YA KILIMO TANZANIA BARA NA ZANZIBAR ZATAKIWA KUFUATA VIGEZO VYA UKOPESHAJI mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/09/benki-zinazotoa-mikopo-ya-kilimo_11.html

Subscribe to receive free email updates:

0 Response to "BENKI ZINAZOTOA MIKOPO YA KILIMO TANZANIA BARA NA ZANZIBAR ZATAKIWA KUFUATA VIGEZO VYA UKOPESHAJI"

Post a Comment