title : CHAMA CHA WANASHERIA WANAWAKE TAWLA CHATIMIZA MIAKA 27 KATIKA HUDUMA ZA MSAADA WA KISHERIA NCHINI
kiungo : CHAMA CHA WANASHERIA WANAWAKE TAWLA CHATIMIZA MIAKA 27 KATIKA HUDUMA ZA MSAADA WA KISHERIA NCHINI
CHAMA CHA WANASHERIA WANAWAKE TAWLA CHATIMIZA MIAKA 27 KATIKA HUDUMA ZA MSAADA WA KISHERIA NCHINI
Mwenyekiti wa Chama cha Wanasheria Wanawake Nchini Tanzania TAWLA Bi. Athanasia Soka akikata keki pamoja na baadhi ya wanachama wa chama hicho katika hafla fupi ya chama hicho kutimiza miaka 27 tamgu kilipoanzanishwa baada ya kusajiliwa rasmi mwaka 1990 na kuanza kazi zake rasmi hapa nchini.
Chama hicho kimefanikiwa kuanzisha matawi yake katika mikoa ya Tanga, Dodoma, Arusha, Mwanza pamoja na Dar es salaam na chama hicho kimeweza kusaidia mamilioni ya watanzania hasa wanawake katika masuala ya msaada wa kisheria katika unyanyasaji wa kijinsia na migogoro ya kifamili hasa ndoa na masuala mengine, hafla hiyo iliyofanyika ofisi za taasisi hiyo Ilala Bungoni
Mwenyekiti wa Chama cha Wanasheria Wanawake Nchini Tanzania TAWLA Bi. Athanasia Soka akimlisha keki Mwanachama wa chama hicho Bi Mariam Mvano wakati wa hafla hiyo.
Mwenyekiti wa Chama cha Wanasheria Wanawake Nchini Tanzania TAWLA Bi. Athanasia Soka akizungumza na wanachama hao.
Hivyo makala CHAMA CHA WANASHERIA WANAWAKE TAWLA CHATIMIZA MIAKA 27 KATIKA HUDUMA ZA MSAADA WA KISHERIA NCHINI
yaani makala yote CHAMA CHA WANASHERIA WANAWAKE TAWLA CHATIMIZA MIAKA 27 KATIKA HUDUMA ZA MSAADA WA KISHERIA NCHINI Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala CHAMA CHA WANASHERIA WANAWAKE TAWLA CHATIMIZA MIAKA 27 KATIKA HUDUMA ZA MSAADA WA KISHERIA NCHINI mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/05/chama-cha-wanasheria-wanawake-tawla.html
0 Response to "CHAMA CHA WANASHERIA WANAWAKE TAWLA CHATIMIZA MIAKA 27 KATIKA HUDUMA ZA MSAADA WA KISHERIA NCHINI"
Post a Comment