JE UNAYAJUA MAMBO YANAYO MUWEKA MTU KATIKA HATARI YA KUPATWA NA KITAMBI

JE UNAYAJUA MAMBO YANAYO MUWEKA MTU KATIKA HATARI YA KUPATWA NA KITAMBI - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa JE UNAYAJUA MAMBO YANAYO MUWEKA MTU KATIKA HATARI YA KUPATWA NA KITAMBI, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : JE UNAYAJUA MAMBO YANAYO MUWEKA MTU KATIKA HATARI YA KUPATWA NA KITAMBI
kiungo : JE UNAYAJUA MAMBO YANAYO MUWEKA MTU KATIKA HATARI YA KUPATWA NA KITAMBI

soma pia


JE UNAYAJUA MAMBO YANAYO MUWEKA MTU KATIKA HATARI YA KUPATWA NA KITAMBI

Kitambi  ni  ile  hali  ya  tumbo  kuwa kubwa  na  kuchomoza  kwa  mbele  na  wakati mwingine  kufikia  hatua  ya  kunin’ginia.

JINSI  KITAMBI  KINAVYO  PATIKANA.

Kwa  mujibu  wa  tafiti  mbalimbali  za  kitaalamu, mwili wa binadamu una seli kati  ya bilioni 50  hadi 200 za mafuta zilizogawanyika katika  sehemu  mbalimbali  za  mwili wa binadamu.


 Kwa wanawake  seli hizo  zipo sana katika maeneo ya matiti, kwenye  nyonga, kiunoni na kwenye makalio.

Kwa upande  wa  wanaume seli  hizo zinapatikana  sana kwenye kifua, tumboni na kwenye makalio pia.

Mafuta ya tumbo yanayofanya kitambi hukusanywa kwa njia kuu mbili:
i.                    Njia  ya kwanza ni mafuta kutoka kwenye tishu zilizo chini ya ngozi
ii.                  Na  njia  ya pili ni kutoka kwenye ogani za ndani kama moyo, kongosho n.k

SABABU ZA KUPATA KITAMBI

Sababu kubwa ya kitambi ni kukosekana ulingano wa nguvu(kalori) katika  mwili  wa  mwanadamu, hali  inayo  sababishwa  na  mtu  kula vyakula vinavyotia nguvu sana kuliko jinsi anavyoweza kutumia na kutoa kama taka mwili.

VYAKULA  VINAVYO  CHANGIA KULETA  KITAMBI

Vyakula vinavyochangia  kuleta  kitambi ni  pamoja  na :
i.                    Vyakula  vyenye  mafuta  mengi  kama  vile  nyama nyekundu  (iwe ni ya kuchemsha, kukaanga au kuchoma), nyama  ya  kuku  wa  kizungu  ( iwe  ya  kuchemsha, kukaanga  ama  kuchoma ), mafuta ya kupikia, (hasa yale yatokanayo na bidhaa za wanyama, kama siagi, na jibini), viazi ya kukaanga kwa  mafuta  (chips) pamoja  na  pizza.
ii.                   Vyakula vyenye wanga mwingi kama  vile ugali wa mahindi, mihogo, wali, mkate  mweupe.
iii.                 Vyakula  na  vinywaji  vyenye  sukari  nyingi  iliyo  ongezwa 
( added  sugar ), kama  vile  soda  na  keki.

iv.                Vyakula  vilivyo  tengenezwa  kwa  ngano  na  sukari kama  vile  keki, skonzi, chapatti, maandazi, mkate  mweupe  nakadhalika
v.                  Pamoja  na  vinywaji  vilivyo  tengenezwa  kwa  kutumia  ngano  kama  vile  bia  za  aina  mbalimbali  na  kadhalika.
Vyakula  vilivyo  tajwa  hapo  juu, vikitumiwa  bila  kuzingatia  kanuni  za  mlo  kamili, huchangia  kuleta  tatizo  la  kitambi.
vi.                Sababu nyingine ni  kutofanya  mazoezi  ya  mwili  na  viungo
(  physical  exercises  )  kwa  muda  mrefu.



Hivyo makala JE UNAYAJUA MAMBO YANAYO MUWEKA MTU KATIKA HATARI YA KUPATWA NA KITAMBI

yaani makala yote JE UNAYAJUA MAMBO YANAYO MUWEKA MTU KATIKA HATARI YA KUPATWA NA KITAMBI Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala JE UNAYAJUA MAMBO YANAYO MUWEKA MTU KATIKA HATARI YA KUPATWA NA KITAMBI mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/04/je-unayajua-mambo-yanayo-muweka-mtu.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "JE UNAYAJUA MAMBO YANAYO MUWEKA MTU KATIKA HATARI YA KUPATWA NA KITAMBI"

Post a Comment