BBC KUZINDUA LADHA MPYA YA VIPINDI VYA REDIO

BBC KUZINDUA LADHA MPYA YA VIPINDI VYA REDIO - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa BBC KUZINDUA LADHA MPYA YA VIPINDI VYA REDIO, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : BBC KUZINDUA LADHA MPYA YA VIPINDI VYA REDIO
kiungo : BBC KUZINDUA LADHA MPYA YA VIPINDI VYA REDIO

soma pia


BBC KUZINDUA LADHA MPYA YA VIPINDI VYA REDIO

  Kuanzia siku ya Jumatatu, tarehe 1 mwezi Aprili,wasikilizaji wa vipindi vya Kiswahili vya BBC watasikiliza ladha mpya  ya vipindi vya Dira ya Dunia na Amka na BBC.Mabadiliko haya yatahusisha pia watangazaji wapya na kutambulishwa kwa habari bora kuhusu biashara pamoja na Makala zenye kuleta matokeo chanya.

Matangazo ya barabarani yatafanyika Kenya na Tanzania katika uzinduzi huu.Matangazo hayo yatafanyika katika mji wa Bandari Mombasa, mji wa Kwale, Kitui, Dodoma,Morogoro,Kibaha na Dar es Salaam.Wasikilizaji watasikia matangazo hayo maalumu kwa kipindi cha siku tano, kutoka kwenye maeneo hayo na kusikia sauti za watu mbalimbali katika maeneo tutakayoyafikia.

 -Mahojiano na watu mashuhuri na viongozi:
- Wanamuziki - Venessa Mdee, Susumila and Mwasiti
- Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai
- Gavana wa Mombasa, Ali Hassan Joho
- Mbunge wa Tanzania, Zitto Kabwe
- Mwanasiasa wa upinzani kutoka visiwani Zanzibar, Maalim Seif Shariff Hamadi
- Rais mstaafu wa awamu ya pili wa Tanzania, Ali Hassan Mwinyi
- Mkuu wa wilaya, Jokate Mwegelo
- Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Winnie Kiiza
- Mbunge wa Tanzania na mke wa Rais wa awamu ya nne,Salma Kikwete
- Rais wa zamani wa Tanzania , Jakaya Kikwete
- Gavana wa Machakos,Dokta Alfred Mutua

Taarifa motomoto:
-‘’ Wahandisi’’ wanawake wa Zanzibar
- Wanakijiji watengeneza mkate wa wadudu
- Nyumba iliyojengwa katikati ya mpaka wan chi mbili
- Uvutaji wa sehemu za siri za wanawake nchini Rwanda
- The Kenyan community without sweat pores
-Jamii ya Kenya isiyotoa jasho
- Kisiwa chenye uhaba wa Condom


Hivyo makala BBC KUZINDUA LADHA MPYA YA VIPINDI VYA REDIO

yaani makala yote BBC KUZINDUA LADHA MPYA YA VIPINDI VYA REDIO Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala BBC KUZINDUA LADHA MPYA YA VIPINDI VYA REDIO mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2019/04/bbc-kuzindua-ladha-mpya-ya-vipindi-vya.html

Subscribe to receive free email updates:

0 Response to "BBC KUZINDUA LADHA MPYA YA VIPINDI VYA REDIO"

Post a Comment