ZANTELI YAENDELEA KUMWAGA ZAWADI KUPITIA PROMSHENI YAO YA 'TUMIA EZYPESA USHINDE'

ZANTELI YAENDELEA KUMWAGA ZAWADI KUPITIA PROMSHENI YAO YA 'TUMIA EZYPESA USHINDE' - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa ZANTELI YAENDELEA KUMWAGA ZAWADI KUPITIA PROMSHENI YAO YA 'TUMIA EZYPESA USHINDE', tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : ZANTELI YAENDELEA KUMWAGA ZAWADI KUPITIA PROMSHENI YAO YA 'TUMIA EZYPESA USHINDE'
kiungo : ZANTELI YAENDELEA KUMWAGA ZAWADI KUPITIA PROMSHENI YAO YA 'TUMIA EZYPESA USHINDE'

soma pia


ZANTELI YAENDELEA KUMWAGA ZAWADI KUPITIA PROMSHENI YAO YA 'TUMIA EZYPESA USHINDE'

Meneja wa mawasiliano wa Zantel, Rukia Mtingwa, amesema kuwa promosheni hii itadumu kwa kipindi cha miezi mitatu na hadi kufikia sasa zimefanyika droo mbili ambazo zimewezesha wateja 60 kujishindia simu za SmartPhone pia kutakuwepo na droo ya mwezi ambayo itawezesha wateja kujishindia fedha taslimu kati ya shilingi 200,000/-mpaka shilingi 1,000,000/-na wateja wapya wanapatiwa motisha. Meneja wa Zantel kitengo cha Bidhaa EZYPESA Leonard Kameta (kulia) akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya na washindi waliopokea zawadi zao za simu za kisasa za mkononi (SmartPhones). Mkurugenzi wa Masoko wa Kampuni ya Zantel, Sakyi Opuku akimkabidhi zawadi ya simu mmoja wa washindi wa promosheni ya tumia EzyPesa ushinde, Rehema Ali Rashid wa Mombasa Unguja, hafla iliyofanyika katika ofisi za Zantel Vuga mjini Unguja. Mkurugenzi wa Masoko wa Kampuni ya Zantel, Sakyi Opuku akimkabidhi zawadi ya simu mmoja wa washindi mshindi wa shindano la tumia Ezypesa ushinde kutoka Zanzibar katika hafla iliyofanyika Zanzibar.
Meneja Uhusiano na Mawasiliano wa Kampuni ya simu ya Zantel Tanzania, Rukia Mtingwa akimkabidhi mmoja ya washindi zawadi ya simu ya kisasa ya mkononi (SmartPhones). Pembeni kushoto anayeshuhudia ni Meneja wa Zantel kitengo cha Bidhaa EZYPESA Leonard Kimeta. Meneja wa Zantel kitengo cha Bidhaa EZYPESA (kulia) Leonard Kimeta akimkabidhi zawadi  mmoja ya washindi zawadi ya simu ya kisasa ya mkononi (SmartPhones). Pembeni kulia anayeshuhudua ni Meneja Uhusiano na Mawasiliano wa Kampuni ya simu ya Zantel Tanzania, Rukia Mtingwa.


Hivyo makala ZANTELI YAENDELEA KUMWAGA ZAWADI KUPITIA PROMSHENI YAO YA 'TUMIA EZYPESA USHINDE'

yaani makala yote ZANTELI YAENDELEA KUMWAGA ZAWADI KUPITIA PROMSHENI YAO YA 'TUMIA EZYPESA USHINDE' Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala ZANTELI YAENDELEA KUMWAGA ZAWADI KUPITIA PROMSHENI YAO YA 'TUMIA EZYPESA USHINDE' mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2019/02/zanteli-yaendelea-kumwaga-zawadi.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "ZANTELI YAENDELEA KUMWAGA ZAWADI KUPITIA PROMSHENI YAO YA 'TUMIA EZYPESA USHINDE'"

Post a Comment