MUSEVENI APITISHWA TENA NA CHAMA CHAKE KUGOMBEA URAIS KWA MUHULA WA SITA

MUSEVENI APITISHWA TENA NA CHAMA CHAKE KUGOMBEA URAIS KWA MUHULA WA SITA - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa MUSEVENI APITISHWA TENA NA CHAMA CHAKE KUGOMBEA URAIS KWA MUHULA WA SITA, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : MUSEVENI APITISHWA TENA NA CHAMA CHAKE KUGOMBEA URAIS KWA MUHULA WA SITA
kiungo : MUSEVENI APITISHWA TENA NA CHAMA CHAKE KUGOMBEA URAIS KWA MUHULA WA SITA

soma pia


MUSEVENI APITISHWA TENA NA CHAMA CHAKE KUGOMBEA URAIS KWA MUHULA WA SITA

CHAMA tawala nchini Uganda kimemteua Rais Yoweri Kaguta Museveni kuwa mgombea wake wa urais katika uchaguzi wa mwaka 2021. Hiyo inamaana ya kuwa, kiongozi huyo mwenye miaka 74, na aliyeingia madarakani  mwaka 1986, atagombea urais kwa muhula wa sita.

Taarifa ya Chama cha National Resistance Movement (NRM) kimesema katika kikao kilichoongozwa na Museveni kimesema Rais huyo aendelee kuongoza harakati za taifa kwa kugombea tena urais kwa mwaka 2021 na kuendelea ili kuondosha vikwazo vya mabadiliko na maendeleo.

Kwa mujibu wa taarifa hii iliyoandikwa na Shirika la Habari la Uingereza (BBC)linasema miaka ya nyuma Museveni aliwahi kueleza kuwa viongozi "wanaodumu" madarakani ndio chanzo cha matatizo barani Afrika.

Hata hivyo,wakati akigombea muhula wa tano wa madaraka mwaka 2016, Rais Museveni aliwahi kueleza  kuwa huo haukuwa muda muafaka kwake kuondoka madarakani kwani bado alikuwa na kazi ya kufanya. CHANZO BBC.



Hivyo makala MUSEVENI APITISHWA TENA NA CHAMA CHAKE KUGOMBEA URAIS KWA MUHULA WA SITA

yaani makala yote MUSEVENI APITISHWA TENA NA CHAMA CHAKE KUGOMBEA URAIS KWA MUHULA WA SITA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala MUSEVENI APITISHWA TENA NA CHAMA CHAKE KUGOMBEA URAIS KWA MUHULA WA SITA mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2019/02/museveni-apitishwa-tena-na-chama-chake.html

Subscribe to receive free email updates:

0 Response to "MUSEVENI APITISHWA TENA NA CHAMA CHAKE KUGOMBEA URAIS KWA MUHULA WA SITA"

Post a Comment