title : Je, Unamjua DJ Emperor??
kiungo : Je, Unamjua DJ Emperor??
Je, Unamjua DJ Emperor??

DJ Emperor akiwajibika ghorofa ya Saba New Africa hotel enzi hizo

Haya DJs walikuwa, na bado ni watu muhimu katika shughuli za muziki Tanzania. Labda nikupe maelezo mafupi. Baada ya Biribi Discotheque kupumzika, akazuka kijana huyu, kwanza kwenye parties maeneo ya Upanga, na baadaye kuwa DJ maarufu aliyejulikana kama Dj Emperor, akiburudisha sana pale Motel Agip na kisha kuhamia ghorofa ya saba New Africa Hotel. Alifanya mambo makubwa Arusha pia. Wapenzi wa disco mnamkumbuka? na je, disko lake liliitwaje?
Hivi sasa je...?
Hivyo makala Je, Unamjua DJ Emperor??
yaani makala yote Je, Unamjua DJ Emperor?? Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala Je, Unamjua DJ Emperor?? mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2019/02/je-unamjua-dj-emperor.html
0 Response to "Je, Unamjua DJ Emperor??"
Post a Comment