Benki ya CRDB yakanusha kufunga tawi lake la Chato

Benki ya CRDB yakanusha kufunga tawi lake la Chato - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Benki ya CRDB yakanusha kufunga tawi lake la Chato, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Benki ya CRDB yakanusha kufunga tawi lake la Chato
kiungo : Benki ya CRDB yakanusha kufunga tawi lake la Chato

soma pia


Benki ya CRDB yakanusha kufunga tawi lake la Chato

Benki ya CRDB imekanusha taarifa zilizoenea kwenye mitandao ya kijamii kuwa imefunga tawi lake la Chato mkoani Geita kutokana na kukosa biashara.

Akizungumza na Globu ya Jamii jioni hii, Mkurugenzi wa Masoko, Utafiti na Huduma kwa Wateja wa Benki ya CRDB, Tully Esther Mwambapa amesema kuwa taarifa hizo si za ukweli kwani tawi hilo linaendelea vyema na biashara na ni moja ya matawi yaliyofanya vizuri zaidi katika kipindi cha mwaka wa fedha uliopita. 

"Tumeshangazwa sana na taarifa hizi kwani hata ukiangalia taarifa yenyewe haina ubora unaoendana na hadhi yetu. nichukue nafasi hii kuwatangazia wateja wetu kuwa Benki haijafunga na wala haina mpango wa kufunga tawi lolote nchini" alisema Mwambapa.


Hivyo makala Benki ya CRDB yakanusha kufunga tawi lake la Chato

yaani makala yote Benki ya CRDB yakanusha kufunga tawi lake la Chato Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Benki ya CRDB yakanusha kufunga tawi lake la Chato mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2019/02/benki-ya-crdb-yakanusha-kufunga-tawi.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Benki ya CRDB yakanusha kufunga tawi lake la Chato"

Post a Comment