WAFUGAJI WATAKIWA KUACHANA NA KUHAMAHAMA

WAFUGAJI WATAKIWA KUACHANA NA KUHAMAHAMA - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa WAFUGAJI WATAKIWA KUACHANA NA KUHAMAHAMA, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : WAFUGAJI WATAKIWA KUACHANA NA KUHAMAHAMA
kiungo : WAFUGAJI WATAKIWA KUACHANA NA KUHAMAHAMA

soma pia


WAFUGAJI WATAKIWA KUACHANA NA KUHAMAHAMA

Jamii ya wafugaji imetakiwa kuhakikisha watoto wao wanajiunga na shule za msingi na sekondari, mara baada ya shule hizo kufunguliwa wiki hii na kuachana na mtindo wa kuhamahama na mifugo. Mwenyekiti wa halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara, Jackson Sipitieck ameyasema hayo wakati akimsimika Diwani wa Kata ya Naisinyai Kilempu Ole Kinoka kuwa kiongozi wa kimila (Laigwanani) wa Jumuiya ya Kishapuy. 

Sipitieck alisema jamii ya wafugaji inatakiwa kubaki eneo moja kusomesha watoto wao na kuachana na maisha ya kuhamahama na watoto wao ili kutafuta malisho ya mifugo. "Hivi sasa serikali imewekeza miundombinu bora kwenye elimu hivyo jamii ya wafugaji inapaswa kutumia fursa hiyo kwa kusomesha watoto," alisema. 

Hata hivyo, alisema wilaya hiyo imejipanga kuhakikisha wanafunzi wapya wa shule za msingi na sekondari wanapata nafasi kwa kuongeza vyumba vya madarasa. Ole Kinoka akizungumza baada ya kusimikwa ameomba ushirikiano kwa viongozi na jamii kwa ujumla ili aweze kutumikia vyema nafasi hiyo.
 Diwani wa Kata ya Naisinyai Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara, Kilempu Ole Kinoka akizungumza baada ya kusimikwa kuwa kiongozi mkuu wa kimila (Laigwanani) wa jamii ya Kishapuy. 
 Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara, Jackson Sipitieck (kulia) wakishuhudia ngoma ya jamii ya wamasai wakati wa kusimikwa kwa Diwani wa Kata ya Naisinyai Kilempu Ole Kinoka (wapili kulia) kuwa kiongozi wa kimila (Laigwanani) wa jamii ya Kishapuy. 
 Diwani wa Kata ya Naisinyai Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara, Kilempu Ole Kinoka akikabidhiwa katiba ya jamii ya Kishapuy na Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo, Jackson Sipitieck baada ya kusimikwa kuwa kiongozi wa kimila (Laigwanani) wa jamii hiyo. 
Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara, Jackson Leskary Sipitieck akizungumza baada ya kumsimika Diwani wa Kata ya Naisinyai, Kilempu Ole Kinoka kuwa kiongozi wa kimila (Laigwanani) wa jamii ya Kishapuy. 

KUSOMA ZAIDI BOFYA HAPA


Hivyo makala WAFUGAJI WATAKIWA KUACHANA NA KUHAMAHAMA

yaani makala yote WAFUGAJI WATAKIWA KUACHANA NA KUHAMAHAMA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala WAFUGAJI WATAKIWA KUACHANA NA KUHAMAHAMA mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2019/01/wafugaji-watakiwa-kuachana-na-kuhamahama.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "WAFUGAJI WATAKIWA KUACHANA NA KUHAMAHAMA"

Post a Comment