MRADI UJENZI UPANUZI WA BARABARA YA KIMARA-KIBAHA UKIENDELEA

MRADI UJENZI UPANUZI WA BARABARA YA KIMARA-KIBAHA UKIENDELEA - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa MRADI UJENZI UPANUZI WA BARABARA YA KIMARA-KIBAHA UKIENDELEA, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : MRADI UJENZI UPANUZI WA BARABARA YA KIMARA-KIBAHA UKIENDELEA
kiungo : MRADI UJENZI UPANUZI WA BARABARA YA KIMARA-KIBAHA UKIENDELEA

soma pia


MRADI UJENZI UPANUZI WA BARABARA YA KIMARA-KIBAHA UKIENDELEA

Muonekano wa barabara ya Morogoro eneo la Kimara stop over jijini Dar es salaam hivi leo ambapo tayari Ujenzi wa Upanuzi wa barabara hiyo  Kuanzia Kimara hadi Kibaha yenye Urefu wa Kilometa 19.2 unaendelea.Upanuzi huo utahusisha kuongeza njia za magari kutoka mawili mpaka nane,Mradi huo muhimu ukikamilika utasaidia kupunguza msongamano mkubwa wa Magari takribani 50,000 yanayopita katika barabara hiyo kila siku .Mradi huo utafanyika kwa miezi 30 kuanzia Julai 21,2018 ambapo utagharimu kiasi cha shilingi Bilioni 141.56 Fedha zote kutoka serikali ya Tanzania


Hivyo makala MRADI UJENZI UPANUZI WA BARABARA YA KIMARA-KIBAHA UKIENDELEA

yaani makala yote MRADI UJENZI UPANUZI WA BARABARA YA KIMARA-KIBAHA UKIENDELEA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala MRADI UJENZI UPANUZI WA BARABARA YA KIMARA-KIBAHA UKIENDELEA mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2019/01/mradi-ujenzi-upanuzi-wa-barabara-ya.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "MRADI UJENZI UPANUZI WA BARABARA YA KIMARA-KIBAHA UKIENDELEA"

Post a Comment