"Moto wa katibu mkuu CCM, Mimi Siufikii" RAIS DKT Magufuli. - Hallo rafiki
WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa "Moto wa katibu mkuu CCM, Mimi Siufikii" RAIS DKT Magufuli., tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts
makala afya,
makala biashara,
makala general,
makala hobby,
makala karibuni info,
makala michezo,
makala siasa,
makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.
title :
"Moto wa katibu mkuu CCM, Mimi Siufikii" RAIS DKT Magufuli.kiungo :
"Moto wa katibu mkuu CCM, Mimi Siufikii" RAIS DKT Magufuli.
"Moto wa katibu mkuu CCM, Mimi Siufikii" RAIS DKT Magufuli.
Rais John Magufuli ameweka wazi kuwa hotuba za Katibu mkuu wa CCM Dkt. Bashiru Ally huwa zinamshangaza kwa namna ambavyo anazitoa bila uoga jambo ambalo humfanya yeye ajione ni mpole.
Mwenyekiti huyo wa CCM alieleza hilo jana kwenye hotuba yake wakati wa mapokezi ya ndege ya pili aina ya Airbus A220-300 iliyowasili nchini jana mchana Januari 11, 2019 kwenye Uwanja wa Ndege wa kimataifa Julius Nyerere (JNIA) jijini Dar es Salaam.
''Dkt. Bashiru amekuwa muwazi, huwa namuangalia kwenye hotuba zake saa nyingine nasema kumbe mimi nafuu bwana kuliko huyu jamaa'', alisema.
Rais alieleza kuwa Katibu wake huyo amekuwa akikemea ufisadi ambao ulikuwa ukishamili siku hadi siku lakini sasa yeye anapingana nao hadharani bila kujali.
Magufuli amewataka viongozi wote wa chama na Serikali kuendelea kuwatumikia wananchi kwa moyo mmoja ili kusaidia maendeleo na siku moja Tanzania itakuwa kama Ulaya.
Hivyo makala "Moto wa katibu mkuu CCM, Mimi Siufikii" RAIS DKT Magufuli.
yaani makala yote "Moto wa katibu mkuu CCM, Mimi Siufikii" RAIS DKT Magufuli. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala "Moto wa katibu mkuu CCM, Mimi Siufikii" RAIS DKT Magufuli. mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2019/01/moto-wa-katibu-mkuu-ccm-mimi-siufikii.html
Related Posts :
WAZIRI MKUU AUPONGEZA UONGOZI WA NHC KWA UTENDAJIWAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameupongeza uongozi wa Shirika la Nyumba (NHC) kwa kukamilisha ujenzi wa zahanati ya kijiji cha Mnolela mkoani L… Read More...
MASAUNI AWATAKA MAAFISA UHAMIAJI, POLISI KUONGEZA KASI KUCHUNGUZA NA KUWAKAMATA WAHAMIAJI HARAMU TANGA
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni (kulia) akizungumza na Viongozi wa Taasisi zilizopo chini ya Wizara yake, … Read More...
WAZIRI MWIGULU AFANYA MAZUNGUMZO NA NAIBU BALOZI WA MAREKANI NCHINI TANZANIA
Naibu Balozi wa Marekani nchini, Dk. Inmi Patterson, akizungumza na Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba, alipomtem… Read More...
Watumishi wa Mahakama waaswa kushughulikia vitendo vya rushwa.
WAZIRI wa Katiba na Sheria, Profesa Palamagamba Kabudi amewaasa watumishi wa mahakama kushughulikia vitendo vya rushwa kwani vinaipatia mah… Read More...
HARBINDER SETHI ADAIWA KUWA NA UVIMBE TUMBONI, KESI YAKE YASHINDWA KUENDELEA YAPIGWA KALENDA
Na Karama Kenyunko-Globu ya Jamii.
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imeambiwa kuwa, mwenyekiti Mtendaji wa Kampuni ya Power African Power (… Read More...
0 Response to ""Moto wa katibu mkuu CCM, Mimi Siufikii" RAIS DKT Magufuli."
Post a Comment