LTSP YATOA MAFUNZO KWA MABARAZA YA ARDHI YA KIJIJI KUPUNGUZA MLUNDIKANO KESI ZA ARDHI ULANGA

LTSP YATOA MAFUNZO KWA MABARAZA YA ARDHI YA KIJIJI KUPUNGUZA MLUNDIKANO KESI ZA ARDHI ULANGA - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa LTSP YATOA MAFUNZO KWA MABARAZA YA ARDHI YA KIJIJI KUPUNGUZA MLUNDIKANO KESI ZA ARDHI ULANGA, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : LTSP YATOA MAFUNZO KWA MABARAZA YA ARDHI YA KIJIJI KUPUNGUZA MLUNDIKANO KESI ZA ARDHI ULANGA
kiungo : LTSP YATOA MAFUNZO KWA MABARAZA YA ARDHI YA KIJIJI KUPUNGUZA MLUNDIKANO KESI ZA ARDHI ULANGA

soma pia


LTSP YATOA MAFUNZO KWA MABARAZA YA ARDHI YA KIJIJI KUPUNGUZA MLUNDIKANO KESI ZA ARDHI ULANGA

Wizara ya Ardhi nyumba na maendeleo ya makazi kupitia mpango wake wa kuwezesha umilikishaji Ardhi(TLSP) imetoa mafunzo kwa mabaraza ya ardhi ya Vijiji 56 vilivyopo katika wilaya za Ulanga ,Kilombero na Malinyi Mkoani Morogoro ili kukabiliana na migogoro ya ardhi na namna bora ya kuisuruhisha. 

Mratibu wa mafunzo hayo JAMES BALELE amesema utafiti uliofanywa na mradi huo umebaini migogoro mingi ya ardhi imekuwa haimaliziki kutokana na uelewa mdogo wa wasuluishi,ufinyu wa vitendea kazi pamoja na miongozo ya kisheria. 

Awali akifunga mafunzo hayo ,mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Ulanga, FADHILI FURAHA ameishukuru wizara ya Ardhi kupitia mpango wake wa uwezeshwaji na umilikishaji Ardhi TLSP kwa kutoa mafunzo hayo yatakayo punguza migogoro kwa wananchi huku mwanasheria wa halmashauri hiyo DEVOTA KISEMBO akaeleza changamoto mbalimbali wanazokabiliana nazo mabaraza hayo ya ardhi.
Mafunzo kwa Mabaraza ya Ardhi ya Vijiji katika Wilaya ya Ulanga katika kijiji cha Mavimba yakiendelea ikiwa ni sehemu ya hafla ya kuhitimisha mafunzo haya kwa wajumbe wa mabaraza wilayani humo.
Mwezeshaji kutoka Programu ya Kuwezesha Umilikishaji Ardhi (LTSP) ambaye ndie mratibu wa mafunzo hayo yanayoendeshwa na LTSP akitoa salamu za utangulizi kwa Mwenyekiti wa Halmashauri ya Manispaa Ulanga ambaye ndie alikuwa mgeni rasmi katika hafla hiyo
Mgeni Rasmi na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Manispaa Ulanga Fadhili Furaha akitoa salamu kwa washiriki wa warsha hiyo ya mafunzo.
Mmoja wa wajumbe wa mabaraza ya ardhi ya kijiji akichangia hoja mara baada ya mgeni rasmi kuwasili katika hafla hiyo ya ufungaji wa mafunzo ya mabaraza ya ardhi ya kijiji Ulanga. 
Mgeni Rasmi akiwa katika picha ya pamoja na washiriki pamoja na wawezeshaji wa mafunzo hayo.


Hivyo makala LTSP YATOA MAFUNZO KWA MABARAZA YA ARDHI YA KIJIJI KUPUNGUZA MLUNDIKANO KESI ZA ARDHI ULANGA

yaani makala yote LTSP YATOA MAFUNZO KWA MABARAZA YA ARDHI YA KIJIJI KUPUNGUZA MLUNDIKANO KESI ZA ARDHI ULANGA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala LTSP YATOA MAFUNZO KWA MABARAZA YA ARDHI YA KIJIJI KUPUNGUZA MLUNDIKANO KESI ZA ARDHI ULANGA mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2019/01/ltsp-yatoa-mafunzo-kwa-mabaraza-ya.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "LTSP YATOA MAFUNZO KWA MABARAZA YA ARDHI YA KIJIJI KUPUNGUZA MLUNDIKANO KESI ZA ARDHI ULANGA"

Post a Comment