title : KIKAO CHA KAMATI YA NISHATI NA MADINI CHAFANYIKA JIJINI DODOMA
kiungo : KIKAO CHA KAMATI YA NISHATI NA MADINI CHAFANYIKA JIJINI DODOMA
KIKAO CHA KAMATI YA NISHATI NA MADINI CHAFANYIKA JIJINI DODOMA
Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Nishati na Madini, Dunstan Kitandula akiongoza kikao cha Kamati hiyo kilichofanyika katika katika Ofisi za Bunge Jijini Dodoma ambapo Kamati imepokea na kujadili taarifa mbalimbali za Wizara ya Nishati, pembeni yake ni Katibu wa Kamati hiyo, Felister Mgonja.
Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Nishati na Madini, wakiwa katika kikao cha Kamati hiyo kilichofanyika katika Ofisi za Bunge Jijini Dodoma ambapo wamepokea na kujadili taarifa mbalimbali za Wizara ya Nishati.
Naibu Waziri wa Wizara ya Nishati, Subira Mgalu akiwa akizungumza katika kikao cha Kamati ya Bunge ya Nishati na Madini kilichofanyika katika Ofisi za Bunge Jijini Dodoma ambapo Kamati hiyo imepokea na kujadili taarifa mbalimbali za Wizara ya Nishati
Hivyo makala KIKAO CHA KAMATI YA NISHATI NA MADINI CHAFANYIKA JIJINI DODOMA
yaani makala yote KIKAO CHA KAMATI YA NISHATI NA MADINI CHAFANYIKA JIJINI DODOMA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala KIKAO CHA KAMATI YA NISHATI NA MADINI CHAFANYIKA JIJINI DODOMA mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2019/01/kikao-cha-kamati-ya-nishati-na-madini.html
0 Response to "KIKAO CHA KAMATI YA NISHATI NA MADINI CHAFANYIKA JIJINI DODOMA"
Post a Comment