WACHEZAJI WA SIMBA WAPEWA MAJUKUMU MAZITO KUIMALIZA NKANA FC TAIFA

WACHEZAJI WA SIMBA WAPEWA MAJUKUMU MAZITO KUIMALIZA NKANA FC TAIFA - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa WACHEZAJI WA SIMBA WAPEWA MAJUKUMU MAZITO KUIMALIZA NKANA FC TAIFA, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : WACHEZAJI WA SIMBA WAPEWA MAJUKUMU MAZITO KUIMALIZA NKANA FC TAIFA
kiungo : WACHEZAJI WA SIMBA WAPEWA MAJUKUMU MAZITO KUIMALIZA NKANA FC TAIFA

soma pia


WACHEZAJI WA SIMBA WAPEWA MAJUKUMU MAZITO KUIMALIZA NKANA FC TAIFA



Kocha Mkuu wa Simba, Patrick Aussems amesema mchezo wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Nkana FC utakuwa ni mgumu ila kipaumbele kwa timu ni kupata ushindi.

Simba watacheza na Nkana FC katika uwanja wa Taifa jumapili wakitakiwa kushinda bao 1-0 baada ya kukubali kufungwa bao 2-1 katika mchezo wa kwanza uliochezwa nchini Zambia.

"Tulikubali kupoteza mchezo wa kwanza ugenini baada ya kushindwa kupata matokeo mazuri, wapinzani wetu walishinda kwa kutumia makosa yetu nasi pia tunapaswa tushinde mchezo wetu wa marudio.

"Wachezaji wetu wapo vizuri hasa ndani ya uwanja ila walifanya makosa ambayo wapinzani wetu waliyatumia, kazi yetu ni moja kupata matokeo ili tusonge mbele katika hatua inayofuata," alisema


Hivyo makala WACHEZAJI WA SIMBA WAPEWA MAJUKUMU MAZITO KUIMALIZA NKANA FC TAIFA

yaani makala yote WACHEZAJI WA SIMBA WAPEWA MAJUKUMU MAZITO KUIMALIZA NKANA FC TAIFA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala WACHEZAJI WA SIMBA WAPEWA MAJUKUMU MAZITO KUIMALIZA NKANA FC TAIFA mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/12/wachezaji-wa-simba-wapewa-majukumu.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "WACHEZAJI WA SIMBA WAPEWA MAJUKUMU MAZITO KUIMALIZA NKANA FC TAIFA"

Post a Comment