TANZANIA YAFUNGUA OFISI NDOGO YA UBALOZI HONGKONG CHINA

TANZANIA YAFUNGUA OFISI NDOGO YA UBALOZI HONGKONG CHINA - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa TANZANIA YAFUNGUA OFISI NDOGO YA UBALOZI HONGKONG CHINA, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : TANZANIA YAFUNGUA OFISI NDOGO YA UBALOZI HONGKONG CHINA
kiungo : TANZANIA YAFUNGUA OFISI NDOGO YA UBALOZI HONGKONG CHINA

soma pia


TANZANIA YAFUNGUA OFISI NDOGO YA UBALOZI HONGKONG CHINA

Na Grace Semfuko-MAELEZO
Tanzania imefungua ofisi ndogo ya kibalozi Hongkong nchini China ambayo itahudumia masuala ya kidiplomasia na kuongozwa na Balozi wa Heshima wa Tanzania Dkt Annie Wu alieteuliwa Septemba 2 mwaka huu na Waziri wa mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Augustine Mahiga wakati alipohudhuria mkutano wa wa mahusiano ya China na Afrika,  FOCAC huko Beijing nchini China.

Ofisi hiyo mpya  katika jiji la  Hongkong,  nchini China itasimamia masuala ya kibalozi na kuwasogezea karibu huduma hizo, tofauti na hapo awali ambapo huduma za kibalozi zilikuwa zikipatikana Beijing.

Akizungumza Jijini Hongkong nchini China jana, Balozi wa Tanzania nchini humo, Mbelwa Kairuki, alisema ni fursa kwa watanzania na wachina kutumia ofisi ya Hongkong kupata huduma mbalimbali katika ofisi hiyo kwa urahisi.

Kwa upande wake Balozi wa Heshima wa Tanzania nchini China, Dkt. Annie Wu ameonyesha kufurahishwa kuaminiwa na Serikali ya Tanzania kwa majukumu hayo ya heshima aliyopewa na kuihakikishia  serikali kuwa pamoja na mambo ya kidiplomasia, ataitangaza Tanzania kwa wawekezaji ili kuvutia uwekezaji zaidi.

Aidha amewakaribisha wadau wote watembelee ofisi mpya ya Tanzania ili kupata taarifa husika kuhusu utalii, biashara na uwekezaji  kwa manufaa ya  Tanzania na China.

KUSOMA ZAIDI BOFYA HAPA



Hivyo makala TANZANIA YAFUNGUA OFISI NDOGO YA UBALOZI HONGKONG CHINA

yaani makala yote TANZANIA YAFUNGUA OFISI NDOGO YA UBALOZI HONGKONG CHINA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala TANZANIA YAFUNGUA OFISI NDOGO YA UBALOZI HONGKONG CHINA mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/12/tanzania-yafungua-ofisi-ndogo-ya.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "TANZANIA YAFUNGUA OFISI NDOGO YA UBALOZI HONGKONG CHINA"

Post a Comment