NAIBU WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII, MHE. KANYASU AIGIZA TFS ITATUE KERO YA USAFIRISHAJI VINYAGO KWA WATALII

NAIBU WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII, MHE. KANYASU AIGIZA TFS ITATUE KERO YA USAFIRISHAJI VINYAGO KWA WATALII - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa NAIBU WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII, MHE. KANYASU AIGIZA TFS ITATUE KERO YA USAFIRISHAJI VINYAGO KWA WATALII, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : NAIBU WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII, MHE. KANYASU AIGIZA TFS ITATUE KERO YA USAFIRISHAJI VINYAGO KWA WATALII
kiungo : NAIBU WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII, MHE. KANYASU AIGIZA TFS ITATUE KERO YA USAFIRISHAJI VINYAGO KWA WATALII

soma pia


NAIBU WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII, MHE. KANYASU AIGIZA TFS ITATUE KERO YA USAFIRISHAJI VINYAGO KWA WATALII

LUSUNGU HELELA-WMU
Baada ya  malalamiko ya  Watalii walio wengi  kulazimika kuacha  vinyago kwenye viwanja vya ndege walivyokuwa wamevinunua kwenye maduka mbalimbali nchini kutokana na kukosekana kwa vibali kutoka Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania(TFS) hatimaye  Naibu Waziri na Maliasili na Utalii, Mhe. Constantine Kanyasu ameiagiza TFS iangalie namna bora  ya kutatua tatizo hilo kwa vile limekuwa likiwaletea usumbufu watalii.

Amelibainisha hilo wakati alipokuwa akizungumza kwenye mkutano na Watumishi wa makao makuu wa Wakala wa Huduma za Misitu  Tanzania, jijini Dar es Salaam. Amefafanu kuwa  watalii wengi  hununua vinyago hivyo kwenye maduka mbalimbali hapa nchini kama zawadi ya kupeleka nchini kwao lakini  wanapofika kwenye viwanja vya ndege kwa ajili ya kusafiri navyo hudaiwa vibali vya kusafirishia  vinyago hivyo jambo ambalo huwalazimu kuviacha kutokana na usumbufu wanaoupata.

Amesema jambo hilo limekuwa likiwafanya watalii wengi kuondoka nchini wakiwa wamekasirishwa kutokana na utaratibu huo kutokuwa wazi huku wakiamini kuwa wamedhulumiwa mali yao. Amesema malalamiko hayo  sio mazuri licha ya kuwa TFS nia yake ni njema ya kuhakikisha kuwa lazima kuwe na vibali ya kusafirishia vinyago hivyo kwa ajili kuthibiti  uharibifu wa misitu.
  Naibu Waziri na Maliasili na Utalii, Mhe. Constantine Kanyasu akizungumza na watumishi wa Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania ( TFS) wakati aliwapotembelea kwa ajili ya kuzungumza nao  ikiwa ni mara ya kwanza  tangu alipoteuliwa kushika nyadhifa hiyo.
 Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS), Dos Santos Silayo akiwasilisha taarifa kabla  Naibu Waziri na Maliasili na Utalii, Mhe. Constantine Kanyasu  kuzungumza watumishi wa makao makuu wa  TFS, jijini Dar es Salaam.    
 Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS), Dos Santos Silayo akifafanua jambo kabla   Naibu Waziri na Maliasili na Utalii, Mhe. Constantine Kanyasu kuzungumza na Menejimenti ya  TFS, jijini Dar es Salaam.
  Baadhi ya watumishi wa Wakala wa  Huduma za Misitu Tanzania ( TFS) wakimsikiliza Naibu Waziri na Maliasili na Utalii, Mhe. Constantine Kanyasu wakati ali[pokuwa akizungumza nao makao makuu ya TFS jijini Dar es Salaam. (PICHA ZOTE NA LUSUNGU HELELA-MNRT)

KUSOMA ZAIDI BOFYA HAPA


Hivyo makala NAIBU WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII, MHE. KANYASU AIGIZA TFS ITATUE KERO YA USAFIRISHAJI VINYAGO KWA WATALII

yaani makala yote NAIBU WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII, MHE. KANYASU AIGIZA TFS ITATUE KERO YA USAFIRISHAJI VINYAGO KWA WATALII Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala NAIBU WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII, MHE. KANYASU AIGIZA TFS ITATUE KERO YA USAFIRISHAJI VINYAGO KWA WATALII mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/12/naibu-waziri-wa-maliasili-na-utalii-mhe_14.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "NAIBU WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII, MHE. KANYASU AIGIZA TFS ITATUE KERO YA USAFIRISHAJI VINYAGO KWA WATALII"

Post a Comment