MRADI WA MFANO WA USIMAMIZI WA MAJI MTIRIRIKO SEKONDARI YA KINZUDI WAZINDULIWA DAR ES SALAAM

MRADI WA MFANO WA USIMAMIZI WA MAJI MTIRIRIKO SEKONDARI YA KINZUDI WAZINDULIWA DAR ES SALAAM - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa MRADI WA MFANO WA USIMAMIZI WA MAJI MTIRIRIKO SEKONDARI YA KINZUDI WAZINDULIWA DAR ES SALAAM, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : MRADI WA MFANO WA USIMAMIZI WA MAJI MTIRIRIKO SEKONDARI YA KINZUDI WAZINDULIWA DAR ES SALAAM
kiungo : MRADI WA MFANO WA USIMAMIZI WA MAJI MTIRIRIKO SEKONDARI YA KINZUDI WAZINDULIWA DAR ES SALAAM

soma pia


MRADI WA MFANO WA USIMAMIZI WA MAJI MTIRIRIKO SEKONDARI YA KINZUDI WAZINDULIWA DAR ES SALAAM



MGENI Diwani wa Kata ya Goba, Muslima Mwenda akikata utepe kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya ya Ubungo, Kisare Makori wakati wa uzinduzi wa mradi wa mfano wa usimamizi wa maji mtiririko, kwenye Shule ya Sekondari Kinzudi, Wilaya ya Ubungo jijini Dar es Salaam hivi karibuni. Pamoja naye ni Mratibu wa Mradi huo, kutoka Chuo Kikuu Ardhi (ARU), Profesa Wilbard Kombe (kulia), Mhadhiri Msaidizi wa ARU, Saimon Mpyana (wa pili kulia), Mhadhiri Msaidizi wa ARU, Given Mhina (kushoto) na Wataalam kutoka ARU na Halmashauri za jiji hilo. Mradi huo umedhaminiwa na Shirika la Maendeleo la Denmark (DANIDA) na kutekelezwa na wataalam wa Chuo Kikuu Ardhi (ARU).  (Imeandaliwa na Robert Okanda)
MGENI Diwan wa Kata ya Goba, Muslima Mwenda (wa tatu kulia) kwa niaba ya Mkuu wa  Wilaya ya Ubungo, Kisare Makori akipata maelezo baada ya kuzindua mradi wa mfano wa usimamizi wa maji mtiririko, kutoka kwa Mwalimu wa Taaluma wa Shule ya Sekondari Kinzudi, Juma Mbwana iliyopo Goba Wilayani humo jijini Dar es Salaam. Pamoja naye ni Mratibu wa Mradi huo, kutoka Chuo Kikuu Ardhi (ARU), Profesa Wilbard kombe (wa pili kulia), Mhadiri Msaidizi wa ARU, Saimon Mpyana (kulia), Mhadhiri Msaidizi wa ARU, Given Mhina (kushoto) na Wataalam kutoka ARU na Halmashauri za jiji hilo

Mhadhiri Msaidizi wa ARU, Given Mhina (kushoto) akimpatia maelezo Mgeni Rasmi, Diwani wa Kata ya Goba, Muslima Mwenda alipotembelea maeneo mradi wa mfano wa usimamizi wa maji mtiririko, kwenye shule ya Sekondari Kinzudi ulivyotekelezwa katika Wilaya ya Ubungo jijini Dar es Salaam Disemba 18 2018.

Mhadhiri Msaidizi wa ARU, Given Mhina (kushoto) akimpatia maelezo Mgeni Rasmi, Diwani wa Kata ya Goba, Muslima Mwenda namna mfumo wa uvunaji wa maji ya mvua na jinsi yanavyoweza kutumiwa na wanafunzi wa shule ya Sekondari Kinzuri baada ya kuzindua mradi wa mfano wa usimamizi wa maji mtiririko, kwenye shule ya Sekondari Kinzudi, Wilaya ya Ubungo jijini Dar es Salaam Disemba 18 2018.

KUSOMA ZAIDI BOFYA HAPA>>>>>


Hivyo makala MRADI WA MFANO WA USIMAMIZI WA MAJI MTIRIRIKO SEKONDARI YA KINZUDI WAZINDULIWA DAR ES SALAAM

yaani makala yote MRADI WA MFANO WA USIMAMIZI WA MAJI MTIRIRIKO SEKONDARI YA KINZUDI WAZINDULIWA DAR ES SALAAM Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala MRADI WA MFANO WA USIMAMIZI WA MAJI MTIRIRIKO SEKONDARI YA KINZUDI WAZINDULIWA DAR ES SALAAM mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/12/mradi-wa-mfano-wa-usimamizi-wa-maji.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "MRADI WA MFANO WA USIMAMIZI WA MAJI MTIRIRIKO SEKONDARI YA KINZUDI WAZINDULIWA DAR ES SALAAM"

Post a Comment