MHANDISI MANYANYA ATEMBELEA MAONESHO YA TATU YA BIDHAA ZA VIWANDA VYA TANZANIA

MHANDISI MANYANYA ATEMBELEA MAONESHO YA TATU YA BIDHAA ZA VIWANDA VYA TANZANIA - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa MHANDISI MANYANYA ATEMBELEA MAONESHO YA TATU YA BIDHAA ZA VIWANDA VYA TANZANIA, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : MHANDISI MANYANYA ATEMBELEA MAONESHO YA TATU YA BIDHAA ZA VIWANDA VYA TANZANIA
kiungo : MHANDISI MANYANYA ATEMBELEA MAONESHO YA TATU YA BIDHAA ZA VIWANDA VYA TANZANIA

soma pia


MHANDISI MANYANYA ATEMBELEA MAONESHO YA TATU YA BIDHAA ZA VIWANDA VYA TANZANIA

  Naibu Waziri wa Viwanda, Biashara na UwekezajiMhandisi Stella Manyanya (Mb)  akisikiliza wafanyakazi wa TanTrade namna huduma ya Kliniki ya Biashara inavyofanya kazi ya kutatua changamoto za wafanyabiashara kwenye Maonesho ya Tatu ya Bidhaa za Viwanda vya Tanzania yalifanyika tarehe 5 hadi 9 Desemba, 2018 katika uwanja wa Maonesho wa Mwl J.K.Nyerere Dar es Salaam 
 Naibu Waziri wa Viwanda, Biashara na UwekezajiMhandisi Stella Manyanya (Mb) akisikiliza wafanyakazi wa TanTrade namna huduma ya Kliniki ya Biashara inavyofanya kazi ya kutatua changamoto za wafanyabiashara kwenye Maonesho ya Tatu ya Bidhaa za Viwanda vya Tanzania yalifanyika tarehe 5 hadi 9 Desemba, 2018 katika uwanja wa Maonesho wa Mwl J.K.Nyerere Dar es Salaam. Katikakati ni Mhe Constantine Kanyasu (Mb) Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii na kushoto ni Bw. Edwin Rutageruka Mkurugenzi Mkuu wa TanTrade   
 Naibu Waziri wa Viwanda, Biashara na UwekezajiMhandisi Stella Manyanya (Mb)  akitoa maelekezo kwa Bw Edwin Rutageruka, Mkurugenzi Mkuu wa TanTrade na wafanyakazi wa TanTrade ya namna ya kuwafikia wananchi ili kupata huduma ya Kliniki ya Biashara inayotolewa bure na TanTrade kwenye Maonesho ya Tatu ya Bidhaa za Viwanda vya Tanzania yalifanyika tarehe 5 hadi 9 Desemba, 2018 katika uwanja wa Maonesho wa Mwl J.K.Nyerere Dar es Salaam. Katikakati ni Mhe Constantine Kanyasu (Mb) Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii



Hivyo makala MHANDISI MANYANYA ATEMBELEA MAONESHO YA TATU YA BIDHAA ZA VIWANDA VYA TANZANIA

yaani makala yote MHANDISI MANYANYA ATEMBELEA MAONESHO YA TATU YA BIDHAA ZA VIWANDA VYA TANZANIA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala MHANDISI MANYANYA ATEMBELEA MAONESHO YA TATU YA BIDHAA ZA VIWANDA VYA TANZANIA mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/12/mhandisi-manyanya-atembelea-maonesho-ya.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "MHANDISI MANYANYA ATEMBELEA MAONESHO YA TATU YA BIDHAA ZA VIWANDA VYA TANZANIA"

Post a Comment