JAFO AWATAKA WAKANDARASI KUONGEZA KASI

JAFO AWATAKA WAKANDARASI KUONGEZA KASI - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa JAFO AWATAKA WAKANDARASI KUONGEZA KASI, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : JAFO AWATAKA WAKANDARASI KUONGEZA KASI
kiungo : JAFO AWATAKA WAKANDARASI KUONGEZA KASI

soma pia


JAFO AWATAKA WAKANDARASI KUONGEZA KASI

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI amewataka wakandarasi wanaojenga barabara ya lami ya Kisarawe – Maneromango kwa kipande kinacho endelea cha wastani wa Kilometa sita kuongeza kasi ya ujenzi. 

Waziri Jafo amewataka wakandarasi hao wakati alipokuwa akifanya ukaguzi wa miradi mbalimbali ya maendeleo inayojengwa wilayani Kisarawe. Barbara hiyo yenye urefu wa kilometa 54.8 inayojengwa kwa awamu mbalimbali itawasaidia sana wananchi wa wilaya ya Kisarawe na watalii mbalimbali wanaokwenda kutembelea mbuga ya selous kupitia Kisarawe .


Waziri Jafo ambaye ni Mbunge wa Kisarawe akiongea na moja ya mkandarasi anayejenga barabara ya Kisarawe – Maneromango kwa kipande cha Kazimzumbwi 

 Waziri Jafo akiwa na Mwenyekiti wa CCM wilaya Kisarawe katika ukaguzi wa barabara ya Kisarewe – Maneromango 

 Wakandarasi wakina katika harakati za ujenzi eneo la Kazimzumbwi .


Hivyo makala JAFO AWATAKA WAKANDARASI KUONGEZA KASI

yaani makala yote JAFO AWATAKA WAKANDARASI KUONGEZA KASI Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala JAFO AWATAKA WAKANDARASI KUONGEZA KASI mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/12/jafo-awataka-wakandarasi-kuongeza-kasi.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "JAFO AWATAKA WAKANDARASI KUONGEZA KASI"

Post a Comment