title : Dkt. Abbasi Awapiga Msasa Wakuu wa Mikoa na Makatibu Tawala wa Mikoa
kiungo : Dkt. Abbasi Awapiga Msasa Wakuu wa Mikoa na Makatibu Tawala wa Mikoa
Dkt. Abbasi Awapiga Msasa Wakuu wa Mikoa na Makatibu Tawala wa Mikoa
Mkurugenzi wa Idara ya Habari-MAELEZO na Msemaji Mkuu wa Serikali Dkt. Hassan Abbasi akiwasalisha mada kuhusu umuhimu wa Mawasiliano ya Kimkakati katika kuisemea Serikali wakati wa kikao cha Wakuu wa Mikoa na Makatibu Tawala wa Mikoa Leo Jijini Dodoma

Mkurugenzi wa Idara ya Habari-MAELEZO na Msemaji Mkuu wa Serikali Dkt. Hassan Abbasi akiwaonesha Wakuu wa Mikoa na Makatibu Tawala wa Mikoa jarida Maalum utekelezaji wa Miradi Mbalimbali ya Maendeleo katika kipindi cha Miaka Mitatu ya Rais Dkt. John Magufuli Leo Jijini Dodoma.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe. Paul Makonda akichangia Mada baada ya Mkurugenzi wa Idara ya Habari-MAELEZO na Msemaji Mkuu wa Serikali Dkt. Hassan Abbasi kuwasilisha mada kuhusu umuhimu wa Mawasiliano ya Kimkakati katika kuisemea Serikali wakati wa kikao cha Wakuu wa Mikoa na Makatibu Tawala wa Mikoa Leo Jijini Dodoma

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Mhe. Christina Mdeme akichangia Mada baada ya Mkurugenzi wa Idara ya Habari-MAELEZO na Msemaji Mkuu wa Serikali Dkt. Hassan Abbasi kuwasilisha mada kuhusu umuhimu wa Mawasiliano ya Kimkakati katika kuisemea Serikali wakati wa kikao cha Wakuu wa Mikoa na Makatibu Tawala wa Mikoa Leo Jijini Dodoma

Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mhe. Ally Hapi akisoma jarida Maalum utekelezaji wa Miradi Mbalimbali ya Maendeleo katika kipindi cha Miaka Mitatu ya Rais Dkt. John Magufuli Leo Jijini Dodoma.
Katibu Tawala Mkoa wa Pwani Bi. Theresia Mbando akisoma jarida Maalum utekelezaji wa Miradi Mbalimbali ya Maendeleo katika kipindi cha Miaka Mitatu ya Rais Dkt. John Magufuli Leo Jijini Dodoma.
Mkurugenzi wa Idara ya Habari-MAELEZO na Msemaji Mkuu wa Serikali Dkt. Hassan Abbasi akiwaonesha Wakuu wa Mikoa na Makatibu Tawala wa Mikoa jarida Maalum utekelezaji wa Miradi Mbalimbali ya Maendeleo katika kipindi cha Miaka Mitatu ya Rais Dkt. John Magufuli Leo Jijini Dodoma.
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe. Paul Makonda akichangia Mada baada ya Mkurugenzi wa Idara ya Habari-MAELEZO na Msemaji Mkuu wa Serikali Dkt. Hassan Abbasi kuwasilisha mada kuhusu umuhimu wa Mawasiliano ya Kimkakati katika kuisemea Serikali wakati wa kikao cha Wakuu wa Mikoa na Makatibu Tawala wa Mikoa Leo Jijini Dodoma
Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Mhe. Christina Mdeme akichangia Mada baada ya Mkurugenzi wa Idara ya Habari-MAELEZO na Msemaji Mkuu wa Serikali Dkt. Hassan Abbasi kuwasilisha mada kuhusu umuhimu wa Mawasiliano ya Kimkakati katika kuisemea Serikali wakati wa kikao cha Wakuu wa Mikoa na Makatibu Tawala wa Mikoa Leo Jijini Dodoma
Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mhe. Ally Hapi akisoma jarida Maalum utekelezaji wa Miradi Mbalimbali ya Maendeleo katika kipindi cha Miaka Mitatu ya Rais Dkt. John Magufuli Leo Jijini Dodoma.
Katibu Tawala Mkoa wa Pwani Bi. Theresia Mbando akisoma jarida Maalum utekelezaji wa Miradi Mbalimbali ya Maendeleo katika kipindi cha Miaka Mitatu ya Rais Dkt. John Magufuli Leo Jijini Dodoma.
Hivyo makala Dkt. Abbasi Awapiga Msasa Wakuu wa Mikoa na Makatibu Tawala wa Mikoa
yaani makala yote Dkt. Abbasi Awapiga Msasa Wakuu wa Mikoa na Makatibu Tawala wa Mikoa Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala Dkt. Abbasi Awapiga Msasa Wakuu wa Mikoa na Makatibu Tawala wa Mikoa mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/12/dkt-abbasi-awapiga-msasa-wakuu-wa-mikoa.html
0 Response to "Dkt. Abbasi Awapiga Msasa Wakuu wa Mikoa na Makatibu Tawala wa Mikoa"
Post a Comment