WEMA SEPETU AFIKISHWA MAHAKAMANI

WEMA SEPETU AFIKISHWA MAHAKAMANI - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa WEMA SEPETU AFIKISHWA MAHAKAMANI, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : WEMA SEPETU AFIKISHWA MAHAKAMANI
kiungo : WEMA SEPETU AFIKISHWA MAHAKAMANI

soma pia


WEMA SEPETU AFIKISHWA MAHAKAMANI


Image result for picha za wema sepetu mahakamani
Mwigizaji na mlimbwende wa Miss Tanzania mwaka 2006, Wema Sepetu amefikishwa katika mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu leo Alhamisi Novemba Mosi, 2018.

Wema amefikishwa mahakamani hapo saa 4 asubuhi na kupelekwa katika chumba cha mahabusu.

Wema alikuwa chini ya ulinzi wa polisi  na alikuwa amevaa miwani na kujitanda ushungi.

Jana, zilisambaa taarifa kuwa Wema alikuwa akishikiliwa na polisi, taarifa ambazo si polisi wala watu wa karibu wa mwigizaji huyo waliokubali kuzithibitisha.


Hivyo makala WEMA SEPETU AFIKISHWA MAHAKAMANI

yaani makala yote WEMA SEPETU AFIKISHWA MAHAKAMANI Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala WEMA SEPETU AFIKISHWA MAHAKAMANI mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/11/wema-sepetu-afikishwa-mahakamani.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "WEMA SEPETU AFIKISHWA MAHAKAMANI"

Post a Comment